ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 803
Wakuu wasalaam,
Tafadhali naombeni kujuzwa sababu inayopelekea tatizo la mtoto kuzalia akapatwa na shda ya kupumua vyema na kulazimu kuwekewa oxygen haraka ili kumsaidia kupumua.
Na je solution yake huwa ni nini.
Thanks
Tafadhali naombeni kujuzwa sababu inayopelekea tatizo la mtoto kuzalia akapatwa na shda ya kupumua vyema na kulazimu kuwekewa oxygen haraka ili kumsaidia kupumua.
Na je solution yake huwa ni nini.
Thanks