Tatizo la muwasho na vipele kidevuni

Tatizo la muwasho na vipele kidevuni

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Habari wajuvi, mimi ni mhanga wa vipele na muwasho kidevuni hapo awali nilikua nanyoa na kiwembe baada ya kunyoa hutokwa na vipele vingi sana hata kama nikitumia after shave

Nikashauriwa kutumia magic powder tatizo likaisha ila kinachonisumbua kwa sasa nikifuga ndevu zaidi ya wiki moja kidevu kinawasha sana na vipele vinachomoza hali hii hukoma mpaka ninaponyoa ndevu na magic powder na vipele hukauka

Hali hii inaninyima raha sababu nashindwa kabisa kufuga ndevu je tiba ya tatizo hili ni nini?
 
Kumbe karne hii bado watu wananyolea wembe.

Dawa usiwe unanyoa tako kwenye kidevu sbb nywele zinaotea ndani ya ngozi ndo sbb kuu ya kuleta vipere vya majipu, na usinyolee viwembe

OR
Fuga mzuzu harafu tafuta dawa ya kupaka kwenye ndevu ziwe laini jina nimelisahau ni elf 15 ivi, ili zisiwe zinakuwasha.

Hari ikiendelea muone mtaaalamu wa ngozi( specialist wa ngozi) atakupa ushauri zaidi
 
Kumbe karne hii bado watu wananyolea wembe.

Dawa usiwe unanyoa tako kwenye kidevu sbb nywele zinaotea ndani ya ngozi ndo sbb kuu ya kuleta vipere vya majipu, na usinyolee viwembe

OR
Fuga mzuzu harafu tafuta dawa ya kupaka kwenye ndevu ziwe laini jina nimelisahau ni elf 15 ivi, ili zisiwe zinakuwasha.

Hari ikiendelea muone mtaaalamu wa ngozi( specialist wa ngozi) atakupa ushauri zaidi
Ahsante kwa ushauri
 
Habari wajuvi, mimi ni mhanga wa vipele na muwasho kidevuni hapo awali nilikua nanyoa na kiwembe baada ya kunyoa hutokwa na vipele vingi sana hata kama nikitumia after shave

Nikashauriwa kutumia magic powder tatizo likaisha ila kinachonisumbua kwa sasa nikifuga ndevu zaidi ya wiki moja kidevu kinawasha sana na vipele vinachomoza hali hii hukoma mpaka ninaponyoa ndevu na magic powder na vipele hukauka

Hali hii inaninyima raha sababu nashindwa kabisa kufuga ndevu je tiba ya tatizo hili ni nini?
Mafuta ya chereani
 
Bump Patrol ndio mwisho wa matatizo bei haizidi 12000
 
Back
Top Bottom