Tatizo la mwanga mdogo katika Computer

Tatizo la mwanga mdogo katika Computer

kekule benzene

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
1,444
Reaction score
3,576
Habarini za jioni wanajukwaa

Leo nimeangusha laptop yangu, baada ya kuiwasha ikawa inawaka lakini mwanga umekuwa hafifu mno kana kwamba nimepunguza Hadi level ya mwisho

Nimejaribu kuichunguza hakuna wino, pia maandishi + folders na vitu vyote vinaonekana ila kwa brightness ndogo mno.

Ningependa kufahamu, changamoto ipo kwenye device ipi?? na nawezaje kusolve hii shida ikiwemo GHARAMA zake

Nina matumizi makubwa na ya umuhimu Sana na hii kompyuta.

Naomba kuwasilisha.
 
Nimejaribu kuichunguza hakuna wino, pia maandishi + folders na vitu vyote vinaonekana ila kwa brightness ndogo mno.
Hapo sijakupata, hakuna wino?

Jaribu kuupdate drivers, kwa mafundi huwa wanazo driver packs solutions
 
Shida imeanza baada ya kompyuta kuanguka

Inaweza ikawa ni tatizo la driver??
Hapo hapana, hapo limerudi kwenye hardware.

Na mi nna akili ya software zaidi, hayo mengine kidoooogo sana.

Mpelekee fundi, anaweza shauri kubadili mkanda au kioo au kingine, mtaalamu atajua tu.
 
Hapo hapana, hapo limerudi kwenye hardware.

Na mi nna akili ya software zaidi, hayo mengine kidoooogo sana.

Mpelekee fundi, anaweza shauri kubadili mkanda au kioo au kingine, mtaalamu atajua tu.
Ok, daah ikiwa kioo itakuwa jau sana

Maana gharama yake sio poa
 
Back
Top Bottom