Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Waliamua kuchukua shortcutKwani hawakuona ubunifu mwingine wa kuongeza viewers na listeners badala ya kufanya kamari kwenye vyombo vya habari ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliamua kuchukua shortcutKwani hawakuona ubunifu mwingine wa kuongeza viewers na listeners badala ya kufanya kamari kwenye vyombo vya habari ?
😄😄Sii kweli, waandishi wana CCM wapo ila waandishi wa vyama vingine pia wapo, na hata sisi waandishi tuliomo CCM, sii kweli wote tunamendea teuzi, mfano mzuri ni mimi.
Ukiona tukio haliripotiwi kikamilifu ujue sio issue!.
Huu ni ushauri mzuri, hata mimi pia niliwashauri. Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
P
Sio kweli, sio waandishi wote wa habari wananunulika!.Uzuri wote wananunulika, wakati huo huo wa invest kwenye social media...
Siku serikali ikiamua kupiga marufuku kamari na vyombo vya habari navyo vinakufa?Waliamua kuchukua shortcut
Kufa havitakufa ila chamoto......Siku serikali ikiamua kupiga marufuku kamari na vyombo vya habari navyo vinakufa?
Kama ni hivyo tunasafari ndefu sana.Kufa havitakufa ila chamoto......
Miliki chombo Cha habari alafu kuwa chadema, utajua kilichomtoa kanga manyoyaKama ni hivyo tunasafari ndefu sana.
Kwa sasa kwa tv zetu hizi pamoja na radio hakuna cha maana unachoweza kusikiliza zaidi ya makelele ya kamari na mapenzi.
Vyombo vya habari ni tool muhimu sana kwenye jamii hivi hali itakuwaje huko mbeleni kwa vyombo vya habari visivyo na content namna hii?
Imebidi vitugee tunachotaka.Ni kweli vyombo vya habari kwa sasa vimepoteza maana, 24 hrs wanaongelea kamari, mpira, Mziki na mapenzi hawatoki kwenye hizo mada.
Wakibadili sana ni matukio ya kawaida ya viongozi na matukio jinai.
Lakini kila baada ya dakika moja kuna tangazo la kamari.
Vyombo vya namna hii bora vifutwe tu, tuanze upya.
Kuna wakati, hasa nikiwa kwenye gari, nafungua redio na kuzima mara moja, maana unaona ni upuuzi mtupu.Inatia hasira sana .. hakuna hata kujadili critical issues za kitaifa kwa maslahi mapana ya nchi. Mwendo ni kujadili Mambo ambayo hayana msaada kwa jamii in long run
Kwenye hoja yangu kuna sehemu yoyote nimetaja CHADEMA?Miliki chombo Cha habari alafu kuwa chadema, utajua kilichomtoa kanga manyoya
Dah tumepotea sanaImebidi vitugee tunachotaka.
Ukiangalia taifa letu ni taifa lisilotaka kusikia umbea? Au kamari?
Angalia nyuzi za humu utapata picha ni kwanini na wenyewe wamefuata mkondo.
Media ni taswira ya jamii husika.
Yaani unashangaa hata wakati wakijiunga na vyombo vya habari vya kimataifa kama BBC, katikati ya habari, wanasimamisha wanaweka tangazo lao la kamari.Labda kamari zinawaingizia pesa nyingi wahusika ambao ndio wangeweza kuvifuta !
Inaashiria ulegevu wa regulator ambaye ni Serikali kupitoa wizara ya habari.Vyombo vya habari havipaswi kuwa hivi labda kama kimeanzishwa kwa lengo hilo.
Ukifungua tv za Tanzania ukaangalia kwa 12 hrs ni aibu mno.
Watangazaji wa kike wako uchi uchi tu, muziki wanapiga una adult content lakini hawatoi warning yoyote watoto watajifunza nini kwenye tv za namna hii ?
Muda wote wanacheza matangazo ya kamari tu.
Mbona tumekuwa nchi ya hovyo namna hii
Inasikitisha sana, nimeamua kupunguza muda wa kuangalia tv tofauti na mpira sina kingine cha kuangalia kwenye tv zetu za ndaniInaashiria ulegevu wa regulator ambaye ni Serikali kuoitoa wizara ya habari.
Fikiria serikali inayofuta vipindi vya bunge live lakini inaruhusu vipindi vya sindimba kwa muda wowote wanaotaka waandaaji wa kipindi.
Tatizo ni kwamba vyombo vyenyewe vinavyoitwa vya habari, mara nyingi haviwi vyombo vya habari, ni vyombo vya umbea, propaganda na uwongo.Inasikitisha sana, nimeamua kupunguza muda wa kuangalia tv tofauti na mpira sina kingine cha kuangalia kwenye tv zetu za ndani
Mpaka TBC Kuna kamari hakika hii nchi tuna viongozi vilaza na mazuzuVyombo vya habari vya kuendesha michezo ya kamari havina maana yoyote bora vifutwe wote tuanze upya.
Tunaweza Sihasa!Tatizo ni kwamba vyombo vyenyewe vinavyoitwa vya habari, mara nyingi haviwi vyombo vya habari, ni vyombo vya umbea, propaganda na uwongo.
Ukitaka ujue hatuna vyombo vya habari, kuwe na tukio baya lililofanywa na Serikali, idara ya Serikali au viongozi wa Serikali.
Ndiyo maana kukiwa na matukio makubwa negative yanayoigusa Serikali, utalazimika kuitafuta BBC au DW, vyombo vya habari vya Ulaya ili upate taarifa za yanayoendelea Tanzania, na wakati wewe mwenyewe upo Tanzania.
Sisi kila kitu tunafeli, sijui tunaweza nini.
Huko Twitter, Kuna jamaa anajiita madenge ,sikuhizi yupo huko efm lakini yule bwana ukiangalia tweets zake ,utagundua Kuna ombwe kubwa kwenye hiyo tasniaCitizen journalism imekuwa mwiba mchungu kwenye tasnia ya habari Tanzania pia bado tuna fikra ya kijinga kufikili uandishi ni kipaji na sio taaluma