father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 971
- 1,117
Heshima kwenu mabosi zangu.
Wakubwa nina nyumba nilijenga miaka michache iliyopita lakini kumekua kuna nyufa moja inajitokeza mara kwa mara.Nimeshapata watu wakisema ni wataalam wa kudhibiti nyufa lakini kila ikidhibitiwa inarudi baada ya miezi kadhaa.
Sielewi tatizo ni nini,wegine wanadai sababu niliijenga haraka sana(nilisimamisha msingi mpaka kupaua pamoja na milango na madirisha kwa miezi minne).
Kila fundi ninayemuita anaongea yake kisha anarepea na baada ya muda inarudi tena.
Wakuu naombeni ushauri nifanye nni kinachoweza kudhibiti huu ufa for good.
Najua humu tuna wataalam wengi wa mambo ya ujenzi mtanisaidia.
Thanks in advance.
Wakubwa nina nyumba nilijenga miaka michache iliyopita lakini kumekua kuna nyufa moja inajitokeza mara kwa mara.Nimeshapata watu wakisema ni wataalam wa kudhibiti nyufa lakini kila ikidhibitiwa inarudi baada ya miezi kadhaa.
Sielewi tatizo ni nini,wegine wanadai sababu niliijenga haraka sana(nilisimamisha msingi mpaka kupaua pamoja na milango na madirisha kwa miezi minne).
Kila fundi ninayemuita anaongea yake kisha anarepea na baada ya muda inarudi tena.
Wakuu naombeni ushauri nifanye nni kinachoweza kudhibiti huu ufa for good.
Najua humu tuna wataalam wengi wa mambo ya ujenzi mtanisaidia.
Thanks in advance.