Tatizo la saratani ya ini

Tatizo la saratani ya ini

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende.
 
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende
Kuna dawa moja kutoka india inaitwa organic india for hepatitis. Atumie pamoja na stemcells za celiifezy kwa muda wa miezi 3. Hio hali ataisasahau. Wasiliana na 0699254400.
 
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende
India wanatibu 100%. Hawa wana vidonge vya kutibu Announcement: HCV Authorized Generics | Gilead.
Tanzania dawa zao za HIV ndo zipo sijui kama hizi za kansa ya ini kama zipo. Ila anaweza pona 100%
 
Kuna dawa moja kutoka india inaitwa organic india for hepatitis. Atumie pamoja na stemcells za celiifezy kwa muda wa miezi 3. Hio hali ataisasahau. Wasiliana na 0699254400.
Mungu akubariki,
nitaomba ushuhuda baada ya matumizi ya hizi dawa!
 
Kuna dawa moja kutoka india inaitwa organic india for hepatitis. Atumie pamoja na stemcells za celiifezy kwa muda wa miezi 3. Hio hali ataisasahau. Wasiliana na 0699254400.

Vizuri. Kama atapona.

Japo kuna matapeli wengi wanatumia fursa kwenye magonjwa hatari.

Wanajifanya wana dawa kutoka india ama japan ama brazili.

Kumbe wametengeneza hapa hapa kwa mitishamba. Kisha wakabandika lebo za made in india. Kisha wanapiga watu hela na dawa hazitibu wala nini

Unakuta Majani ya muarubaini yamesagwa kisha yakapakiwa kwenye package nzuri na lebo ya made in india wameweka. Kisha wanakuuzia milioni moja kwa dozi.

Kumbe upigaji tu.

Wanajua sababu unaumwa huna jinsi lazima ununue.
 
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende
Akiombewa kwa rehema za Mungu atapona...
 
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende
Cancer ipo Stage ipi?
Kama yupo Stage za mbali hata aende wapi
Matibabu yatacheza pale pale kwenye Chemotherapy na Destiny ni ile ile i.e Kifo.

Usidanganyike na mtu yeyote.
Save pesa zenu mfanyie mambo mengine.

Kwa sasa anaitaji tu Palliative Care na principle zake ni kuzuia matumizi ambayo hayotabadili kitu na dawa za kupunguzia maumivu ikiwe chemotherapy
 
Mkuu sorry sana mimi ndugu yangu imanuel alifarik kwa hepatitis alichelewa ika develope cancer.hakuwa anakunywa pombe kama mimi..swali ni je hiyo jamaa wako anakunywa?
 
Mkuu sorry sana mimi ndugu yangu imanuel alifarik kwa hepatitis alichelewa ika develope cancer.hakuwa anakunywa pombe kama mimi..swali ni je hiyo jamaa wako anakunywa?
Hepatits ni kisababishi kimojawapo cha saratani ya ini.
Hepatitis ni ugonjwa wa kuambukiza mara nyingi kama ilivo HIV/AIDS

Ulevi wa kupindukia nacho ni kisababishi cha kujitegemea.

N:B Note neno ulevi wa kupindukia au kunywa pombe kali zenye % kubwa kila siku.
 
Vizuri. Kama atapona.

Japo kuna matapeli wengi wanatumia fursa kwenye magonjwa hatari.

Wanajifanya wana dawa kutoka india ama japan ama brazili.

Kumbe wametengeneza hapa hapa kwa mitishamba. Kisha wakabandika lebo za made in india. Kisha wanapiga watu hela na dawa hazitibu wala nini

Unakuta Majani ya muarubaini yamesagwa kisha yakapakiwa kwenye package nzuri na lebo ya made in india wameweka. Kisha wanakuuzia milioni moja kwa dozi.

Kumbe upigaji tu.

Wanajua sababu unaumwa huna jinsi lazima ununue.
Ndo zao Sana mkuu
 
Kuna dawa moja kutoka india inaitwa organic india for hepatitis. Atumie pamoja na stemcells za celiifezy kwa muda wa miezi 3. Hio hali ataisasahau. Wasiliana na 0699254400.
Unataka muua mwenzako
 
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo ili jamaa yangu aende
Poleni sana.

Suala mhimu ni:

1: Kuthibitisha uwepo wa kansa na ikiwezekana kisababishi, hii inaweza kusaidia kwa wanaobaki kujihadhari na kisababishi.( mfumo wa kimaisha vs genetic vs kuambukiza).

2: Kufanya staging ya kansa

3: Atanufaika kwa kiasi gani na tiba kulingana na staging/Prognosis

4: nini afanye na nini asifanye kwenye hali aliyonayo.

5: Huduma mhimu kwake kulingana na staging kuendelezwa kwa kuzingatia ubinadamu wetu ya ili kama ni kupumzika apumzike bila kupitia maumivu makali na mateso mengine.

Haya yanaweza kufanyika kwenye vituo vikubwa vya afya HASA Oncology centers/vituo vya kutolea tiba ya kansa.
 
Back
Top Bottom