Tatizo la shingo kukakamaa

Joined
Oct 14, 2018
Posts
66
Reaction score
63
Ndugu zangu ni binti yangu ana miaka 6 sasa ,siku mbili zilizopita limetokea tatizo la shingo yake kushindwa kugeuka kama kawaida yaani akitaka kugeuka anageuka mwili mzima,naomba msaada wa anayejua tatizo hili haswa linasababishwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ni nyingi mno kikubwa mpleleke hospitali kabla hali haijawa mbaya

Fanya kazi kwa bidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…