Tatizo la sikio la kushoto: Kusikia Kelele Kama Upepo Unapita

Tatizo la sikio la kushoto: Kusikia Kelele Kama Upepo Unapita

Strictly Syrup

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
1,227
Reaction score
1,818
Natumaini Jumapili ya Leo ni njema kwenu nyote ndugu, ni jambo la kushukuru.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni mpenzi wa muziki sana, napenda kusikiliza na kutengeneza muziki. Sometimes natumia hata robo tatu ya siku kusikiliza muziki na kutengeneza. Lakini kuna tatizo limenikumba kama wiki tatu sasa, kuna muda sikio moja la upande wa kushoto linakuwa kama linapitisha upepo hivi, na nikichokonoa sikio kwa kidole napata maumivu fulani.

Hii hali imenitisha kidogo, na inatokea haswa mida ya usiku wa manane kama nipo macho. Naombeni mnisaidie ushauri, kama kuna watalaam, nitangulize shukrani.
 
Natumaini Jumapili ya Leo ni njema kwenu nyote ndugu, ni jambo la kushukuru.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Kwa hiyo Sikio la Kushoto Kusikia Kelele Kama Upepo huwa unapata hayo matatizo usiku wa manane? au wakati wowote ule?Ukitumia dawa za Hospitali hujapona nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.
 
Kwa hiyo Sikio la Kushoto Kusikia Kelele Kama Upepo huwa unapata hayo matatizo usiku wa manane? au wakati wowote ule?Ukitumia dawa za Hospitali hujapona nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.
Sawa mkuu nashukuru, lakini kwa maelezo yako inawezekana ikawa ni mambo tofauti na physical health??
 
Kwa hiyo Sikio la Kushoto Kusikia Kelele Kama Upepo huwa unapata hayo matatizo usiku wa manane? au wakati wowote ule?Ukitumia dawa za Hospitali hujapona nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.
Mkuu kuna wengine mpaka leo ndo tumepoteza uwezo wa kusikia sauti vizuri kutokana na mazingira unatusaidiaje
 
Kwa hiyo Sikio la Kushoto Kusikia Kelele Kama Upepo huwa unapata hayo matatizo usiku wa manane? au wakati wowote ule?Ukitumia dawa za Hospitali hujapona nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.
Hii hali ikitokea usiku wa manane inakua ni nini?
Kuna kipindi ilikuwa inanitokea usiku wa manane au nikikaa sehemu peke yangu nikiwa nimetulia.
 
Kwa hiyo Sikio la Kushoto Kusikia Kelele Kama Upepo huwa unapata hayo matatizo usiku wa manane? au wakati wowote ule?Ukitumia dawa za Hospitali hujapona nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.
Ndiyo mara nyingi sana ni usiku wa manane, haswa mida ambayo najaribu kutafuta usingizi. Saa nane hivi saa tisa.. nikawa nahisi kama nimekuwa exposed kwenye high frequency sound, nikawa nimepata tatizo, sasa nikataka kujua kama nimepata damage yoyote, au kama nimepata muongozo ni upi.
 
Suala la kusikia hizo sauti kama za upepo au kitu kinachemka sikioni usiku wa manane ni kwa sababu muda huo kunakua na kiwango cha juu kabisa cha utulivu so unasikia clear.
Ila hiyo sauti ya upepo inakuwepo almost muda wote sema as long as upo kwenye utulivu utaisikia.
Mimi nilienda hospital nikatibiwa fresh na i changed my lifestyle katika matumizi ya earphones. (excessive use).
 
Huu ugonjwa unaitwa Tinnitus
Mimi ninao mda mrefu sana na tiba sina mpaka leo

Sikio langu moja linaunguruma mpaka unakosa raha
Kama gari linakuja kwa mbali na mchanganyiko wa muungurumo wa upepo
Ina kera sana hasa usiku ukitaka kulala ndio karaha sana
Haina mazoea ila nalala tu kwa uchovu na mda ukifika
 
Huu ugonjwa unaitwa Tinnitus
Mimi ninao mda mrefu sana na tiba sina mpaka leo

Sikio langu moja linaunguruma mpaka unakosa raha
Kama gari linakuja kwa mbali na mchanganyiko wa muungurumo wa upepo
Ina kera sana hasa usiku ukitaka kulala ndio karaha sana
Haina mazoea ila nalala tu kwa uchovu na mda ukifika

Au kama vile mvua kubwa sana yenye mchanganyiko na radi
Exactly sound kama hizi, niliingia google wakaniambia linaitwa Tinnitus kama memba mwingine alivyosema hapo juu. Lakini nikaleta mjadala hapa nipate uhakika zaidi.
 
Exactly sound kama hizi, niliingia google wakaniambia linaitwa Tinnitus kama memba mwingine alivyosema hapo juu. Lakini nikaleta mjadala hapa nipate uhakika zaidi.
Pia hatua hiyo lazima niiexperiece wakati nikifanya meditation/tahajudi... Hatua hiyo ikipita ndio unakuja ukimya ambao sijawahi kuusikia kwenye mazingira ya kawaida
 
Ndiyo mara nyingi sana ni usiku wa manane, haswa mida ambayo najaribu kutafuta usingizi. Saa nane hivi saa tisa.. nikawa nahisi kama nimekuwa exposed kwenye high frequency sound, nikawa nimepata tatizo, sasa nikataka kujua kama nimepata damage yoyote, au kama nimepata muongozo ni upi.
Ninakupa Ushauri nenda Hospitali kamuone Mtaalam wa magonjwa ya masikio akupime na atakupa dawa upate kutumia .Endapo dawa ukitumia hujapona nione mimi kwa wakati wako nipate kukutibia na utapona maradhi yako.
 
Huu ugonjwa unaitwa Tinnitus
Mimi ninao mda mrefu sana na tiba sina mpaka leo

Sikio langu moja linaunguruma mpaka unakosa raha
Kama gari linakuja kwa mbali na mchanganyiko wa muungurumo wa upepo
Ina kera sana hasa usiku ukitaka kulala ndio karaha sana
Haina mazoea ila nalala tu kwa uchovu na mda ukifika
Nione mimi nipate kukutibia na utapona ukitumia dawa zangu.
 
Hii hali ikitokea usiku wa manane inakua ni nini?
Kuna kipindi ilikuwa inanitokea usiku wa manane au nikikaa sehemu peke yangu nikiwa nimetulia.
Kama unao huo ugonjwa nitafute mimi ili nipate kukutibia ugonjwa wa masikio kuunguruma Ringing aka Tinnitus hakuna dawa ya hospitali itakayo weza kukutibu hayo maradhi na sio rahisi kwa dawa za kizungu kukuponyesha Maradhi ya Masikio kuunguruma.

TINNITUS.jpg
 
Natumaini Jumapili ya Leo ni njema kwenu nyote ndugu, ni jambo la kushukuru.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Mimi ni mpenzi wa muziki sana, napenda kusikiliza na kutengeneza muziki. Sometimes natumia hata robo tatu ya siku kusikiliza muziki na kutengeneza. Lakini kuna tatizo limenikumba kama wiki tatu sasa, kuna muda sikio moja la upande wa kushoto linakuwa kama linapitisha upepo hivi, na nikichokonoa sikio kwa kidole napata maumivu fulani.
Hii hali imenitisha kidogo, na inatokea haswa mida ya usiku wa manane kama nipo macho. Naombeni mnisaidie ushauri, kama kuna watalaam, nitangulize shukrani.
Unatumia robo tatu cku kusikiliza muziki?
Unakuaaidia nn jaman?
 
Natumaini Jumapili ya Leo ni njema kwenu nyote ndugu, ni jambo la kushukuru.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Mimi ni mpenzi wa muziki sana, napenda kusikiliza na kutengeneza muziki. Sometimes natumia hata robo tatu ya siku kusikiliza muziki na kutengeneza. Lakini kuna tatizo limenikumba kama wiki tatu sasa, kuna muda sikio moja la upande wa kushoto linakuwa kama linapitisha upepo hivi, na nikichokonoa sikio kwa kidole napata maumivu fulani.
Hii hali imenitisha kidogo, na inatokea haswa mida ya usiku wa manane kama nipo macho. Naombeni mnisaidie ushauri, kama kuna watalaam, nitangulize shukrani.
Kama upo Dar nenda Ekenywa Hospital, ipo magomeni mwembechai. Me nilishawai pata tatizo la masikio nikatibiwa pale. Wanae specialist wa masikio kabisa.
 
Back
Top Bottom