Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,818
- Thread starter
-
- #21
Mindful Meditation??Pia hatua hiyo lazima niiexperiece wakati nikifanya meditation/tahajudi... Hatua hiyo ikipita ndio unakuja ukimya ambao sijawahi kuusikia kwenye mazingira ya kawai
Sawa Mkuu, Nashukuru.Ninakupa Ushauri nenda Hospitali kamuone Mtaalam wa magonjwa ya masikio akupime na atakupa dawa upate kutumia .Endapo dawa ukitumia hujapona nione mimi kwa wakati wako nipate kukutibia na utapona maradhi yako.
Sijui labda itakuwa ndio yenyeweMindful Meditation??
Asante mkuuNione kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako.
Samahani kwa maswali mengi, lakini natamani kujifunza. Hii hali ikiendelea ina madhara makubwa??Kama unao huo ugonjwa nitafute mimi ili nipate kukutibia ugonjwa wa masikio kuunguruma Ringing aka Tinnitus hakuna dawa ya hospitali itakayo weza kukutibu hayo maradhi na sio rahisi kwa dawa za kizungu kukuponyesha Maradhi ya Masikio kuunguruma.
View attachment 1795580
Nione mimi nipate kukutibia na utapona ukitumia dawa zangu.
Ngoja niitunze hii comment, mimi sikio langu la kushoto linanizingua kinoma. Yaani ni kama linauma lakini maumivu siyo makali kihivyo ila nakereka kweli.Kama upo Dar nenda Ekenywa Hospital, ipo magomeni mwembechai. Me nilishawai pata tatizo la masikio nikatibiwa pale. Wanae specialist wa masikio kabisa.
Acha ushamba.Unatumia robo tatu cku kusikiliza muziki?
Unakuaaidia nn jaman?
Hali hiyo ikizidi kuendelea pasipo na kuitibia unaweza usisikie kabisa ukawa ni kiziwi.Samahani kwa maswali mengi, lakini natamani kujifunza. Hii hali ikiendelea ina madhara makubwa??
Hello Habari yako Mkuu? Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172Mkuu Asante sana
Sijaelewa uko mkoa gani ila natumaini nikija ntakutafuta
Hello Habari yako Mkuu? Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172
Ushawahi kwenda hiyo Hospital (Ekenywa) na tatizo lako limeisha?Ngoja niitunze hii comment, mimi sikio langu la kushoto linanizingua kinoma. Yaani ni kama linauma lakini maumivu siyo makali kihivyo ila nakereka kweli.
Ndugu nasumbuliwa na tinnitus nisaidie kujua ni njia gani ulitumia hadi ukapona? Tafadhari mkuuSuala la kusikia hizo sauti kama za upepo au kitu kinachemka sikioni usiku wa manane ni kwa sababu muda huo kunakua na kiwango cha juu kabisa cha utulivu so unasikia clear.
Ila hiyo sauti ya upepo inakuwepo almost muda wote sema as long as upo kwenye utulivu utaisikia.
Mimi nilienda hospital nikatibiwa fresh na i changed my lifestyle katika matumizi ya earphones. (excessive use).
Mkuu pole, Mimi nilipata tiba Ekenywa hospital ipo Magomeni DSM. Wapo vizuri kwenye ENTNdugu nasumbuliwa na tinnitus nisaidie kujua ni njia gani ulitumia hadi ukapona? Tafadhari mkuu