Freeland JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 14,481 Reaction score 10,227 Dec 26, 2015 #41 naomba tu wakubali MO ainunue hii timu
TAWA JF-Expert Member Joined Jun 23, 2013 Posts 3,674 Reaction score 1,572 Jan 15, 2016 Thread starter #42 Freeland said: naomba tu wakubali MO ainunue hii timu Click to expand... Kinesi kasema Simba haina njaa ya bilioni ishirini na tano
Freeland said: naomba tu wakubali MO ainunue hii timu Click to expand... Kinesi kasema Simba haina njaa ya bilioni ishirini na tano
Freeland JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 14,481 Reaction score 10,227 Jan 15, 2016 #43 TAWA said: Kinesi kasema Simba haina njaa ya bilioni ishirini na tano Click to expand... Hawa wazee inabidi wafe ili timu ipige hatua Okay assuming ndio haina...sasa hiyo samba ina uwezo wa kujiendesha? Mbona kina hanspope wanaibaka kila siku?
TAWA said: Kinesi kasema Simba haina njaa ya bilioni ishirini na tano Click to expand... Hawa wazee inabidi wafe ili timu ipige hatua Okay assuming ndio haina...sasa hiyo samba ina uwezo wa kujiendesha? Mbona kina hanspope wanaibaka kila siku?
Madrid86 JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 1,328 Reaction score 692 Jan 15, 2016 #44 Zote simba na yanga ni ushrkina tu
Ekyoma JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 2,177 Reaction score 2,804 Jan 15, 2016 #45 Mpira wa tanzania ni ovyo tu sio simba ujiulizi timu 8zote zilzoshirki mapinduzi cup moja tu ndo ilikua timu mwalikwa URA na ikachukua ndoo
Mpira wa tanzania ni ovyo tu sio simba ujiulizi timu 8zote zilzoshirki mapinduzi cup moja tu ndo ilikua timu mwalikwa URA na ikachukua ndoo
Nyenyere JF-Expert Member Joined Sep 9, 2010 Posts 14,804 Reaction score 10,715 Jan 16, 2016 #46 Madrid86 said: Zote simba na yanga ni ushrkina tu Click to expand... Mada ni Simba
Elijah O JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 1,118 Reaction score 916 Jan 16, 2016 #47 Inabidi simba ibadilike kwa mwendo huu inapeleka mshabiki kila siku kunapokua na mechi inabidi wawe na panadol kwa ajili ya kupunguza maumivu inaboa sana uongozi inabidi wawe na uchungu na timu..
Inabidi simba ibadilike kwa mwendo huu inapeleka mshabiki kila siku kunapokua na mechi inabidi wawe na panadol kwa ajili ya kupunguza maumivu inaboa sana uongozi inabidi wawe na uchungu na timu..