JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Taa ya Oil haiwaki kwa sababu Oil level iko chini ila inawaka kwa sababu Oil peessure haiko sawa.If the oil light flickers on and off while the vehicle is stopped or at an idle, there may be a problem with the oil sensor or the pressure is too low. ... Check the oil level and add motor oil to the vehicle, if needed, and continue to monitor the light. If the oil was indeed low, the light should turn off.
Huyo mtu ni mimi hapa. Toyota Runx.Yes oil nimepima. Nilijaribu kufuatilia pia humu JF kuna uzi wa 2017 mtu alikuwa na shida kama yangu baadhi wakachangia kwa kusema oil pressure inaweza kuwa na shida pia
Kuwa muelewa nilimwambia apime oil mwanzo kabla ya wewe kujibu. yaani mwanzo kabisa. na hawa wajinga au lugha tatizo " Check the oil level and add motor oil to the vehicle, if needed, and continue to monitor the light. If the oil was indeed low, the light should turn off."Taa ya Oil haiwaki kwa sababu Oil level iko chini ila inawaka kwa sababu Oil peessure haiko sawa.
Sasa kama huyu anakuambia kwamba Oil level iko sawa. Unadhani kwanini taa bado inawaka.
Oil pressure inaanzia kwenye strainer, Filter mpaka kwenye pump.
Huyo mtu ni mimi hapa. Toyota Runx.Yes oil nimepima. Nilijaribu kufuatilia pia humu JF kuna uzi wa 2017 mtu alikuwa na shida kama yangu baadhi wakachangia kwa kusema oil pressure inaweza kuwa na shida pia
Oil iko low level hiyo ni alert , warning sign ya kukutaka uongeze oilWakuu habari mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa hii forum ya magari japo siyo mchangiaji. Nna gari yangu Toyota Allex jana kuanzia juzi taa ya oil nyekundu kwenye dashboard imekuwa inawaka na kuzima. Kuna muda nikiwasha gari taa zote za dashboard zinawaka ila yenyewe haiwaki inakuja kuwaka baadae nikiwa naendesha na inaweza kuwaka kwa kucheza cheza (ina blink). Nimeenda kwa fundi wa kwanza akaniambia issue za shaft na akasema engine lazima ifumuliwe ninunue shaft nyingine. Wa pili akaniambia issue itakuwa oil pump. Naombeni msaada kwa wataalamu wa hivi vyombo maana mimi hii ndo gari yangu ya kwanza kutumia
Kuwa muelewa nilimwambia apime oil mwanzo kabla ya wewe kujibu. yaani mwanzo kabisa. na hawa wajinga au lugha tatizo " Check the oil level and add motor oil to the vehicle, if needed, and continue to monitor the light. If the oil was indeed low, the light should turn off."
Juzi niliongeza oil lita moja na level ikawa full, kuhusu level ipo sawaOil iko low level hiyo ni alert , warning sign ya kukutaka uongeze oil
Sent using Jamii Forums mobile app
Yangu inajitokeza nikiwa naendesha ikiwa imesimama inazima kabisaIf the oil light flickers on and off while the vehicle is stopped or at an idle, there may be a problem with the oil sensor or the pressure is too low. ... Check the oil level and add motor oil to the vehicle, if needed, and continue to monitor the light. If the oil was indeed low, the light should turn off.
Umecheki sample haijagongwa? Umecheki ile knob imefungwa vizuri? Haivujishi? Kwanini uongeze lita moja tuu?Juzi niliongeza oil lita moja na level ikawa full, kuhusu level ipo sawa
Ni kweli hii sometime inakua hivyo. Ishawahi nitokea nikajaza mafuta ya break.Kwan ukimpa ushauri wa kueleweka utapungukiwa nn........kama kitu ujui tulia humu hatupotoshani
Nipo Dodoma ndugu yanguThe worst thing ni kuendesha gari ikiwa imewasha hiyo taa.
Haikawii kukununulisha engine mpya.
But kwa lugha rahisi ni kwamba Oil pressure kwenye engine yako haipo sawa.
Inaweza kuwa iko juu sana au iko chini sana au Au oil pressure switch ina shida.
Ukipima expect code ranging from P0520 to p0524
Kama upo Dar nicheck 0621 221 606
Umecheki sample haijagongwa? Umecheki ile knob imefungwa vizuri? Haivujishi? Kwanini uongeze lita moja tuu?
Oil unatakiwa umwage yote ..ndio uweke mpya kwa kiwango chake... Nashauri sana check knob kwenye sample
Kingine oil check engine ikiwa imepoa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante nduguHaya hapa ni majibu sahihi nenda kafanyie kazi
(1)Kacheki straner au chujio la oil hufungwa kwenye sample ili kuchuja oil,kifaa hiki kikiwa na uchafu husababisha oil kutopita vuzuri na taa ya oil itabrink
(2)Nenda kacheki switch ya oil,hiki ni kifaa kinasense oil kikifa basi taa ya oil it's brink
(3)Baada ya kujiridhisha vyote angalia vvti valve ikifa husababisha oil isiende kwa kipimo inachotakiwa.
Tafadhali hilo ni tatizo usipuuze
Nilikuwa na tatizo kama aliloainisha mleta mada kwenye IST na waliresolve kwa kufungua sample na kusafisha chujioTaa ya oil kuwaka huweza kusababishwa na mambo mengi kama sample kua na ushafu mwingi hivo kupelekea uchafu kuziba kwenye chujio la oil na kufanya oil isiwe pumped ya kutosha, pia oil pump kupitisha uchafu ulio kwenye sample na mengine mengi Ukienda kufanya service fungua na sample wasafishe chujio, pia ukipima oil angalia viscosity yake sio lazima KM zifike ndio ubadilishe oil, oil inaweza kuchoka kabla ya KM zake kufika kutokana na mizunguko mingi ya gari.
Aina ya oil pia ulioweka inaeza kuchangia, kuna baadhi ya oil zinauzwa bei nafuu sana Kariakoo huaa gari taratibu (cheap is expensive) jaribu kusafisha na oil pump.
Haya hapa ni majibu sahihi nenda kafanyie kazi
(1)Kacheki straner au chujio la oil hufungwa kwenye sample ili kuchuja oil,kifaa hiki kikiwa na uchafu husababisha oil kutopita vuzuri na taa ya oil itabrink
(2)Nenda kacheki switch ya oil,hiki ni kifaa kinasense oil kikifa basi taa ya oil it's brink
(3)Baada ya kujiridhisha vyote angalia vvti valve ikifa husababisha oil isiende kwa kipimo inachotakiwa.
Tafadhali hilo ni tatizo usipuuze