Tatizo la taa ya 'oil' kuwaka na kuzima

Rudi kwa yule fundi mueleze tatizo lilikuwa nini na umesharekebisha ili aone noma
 
Kwahiyo kwenye brake kinachotumika ni nini,au mwenzetu unatumia maji,sikupati vizuri mkuu..?
Matatizo ya brake yanaoneshwaga na ABS sensor! Ukiona ABS imewaka ujue kuna shida mahali kwenye mfumo wa brake kuanzia oil level mpaka brake cylinder au speed sensor!
 
Unapokwenda kubadilisha oil kuwa makini mafundi huwa wanarudisha oil filter ile ile uliyotoa hiyo huwa inasababisha shida sana. Pia jaribu kusafisha engine kwa kuflush wastes zote especially kwenye bakuli ile ya sample....

Pia cheki oil pump unaweza kuta pressure sio nzuri oil haisambai vema.
 
Kwahiyo kwenye brake kinachotumika ni nini,au mwenzetu unatumia maji,sikupati vizuri mkuu..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], so oil ya kwenye breki na ya kwenye engine vyote vinazunguka pamoja.... Eti?!
 
Weka picha....
 
Mafundi nao huwa na majibu tofauti tofauti kama wachangiaji wa hii post.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…