By nature Tz wamejawa na ubinafsi. Kila Mtu anamuwinda mwenzake.
Mtanzania anaweza kuiba serikalini, na Serikali inawaza kumuibia Mtanzania.
Hivyo nahitimisha kuwa Maisha ya kuwindana hayafai.
Chanzo cha tozo ni matokeo ya kuwindana na sasahiv tumepigwa KO