Za kukunja vibundaPhD ni za nn ??
Kifo Cha dollar hakikwepeki baada ya Dunia kuachana nayo, dollar ilitumika kuzishikisha adabu nchi zilizokuwa kinyume na USA.Tatizo la dollar ni kubwa
Hazipatikani hizi PhD ni za nn?
Wananchi wanahaha.
Mbona viongozi wote hawafanyi jitihada hata kuruhusu basi huduma kulipiwa kwa Tsh. ...
Duuuh rate ndo imefikia huku?Anayehitaji dola kwa exchange ya 2900 aje chap....
Dunia inaenda kuwa na one currencyKifo Cha dollar hakikwepeki baada ya Dunia kuachana nayo, dollar ilitumika kuzishikisha adabu nchi zilizokuwa kinyume na USA.
Ukicheka na nyani lazima uvune mabua.Mtanikumbuka!
Waulize Russia na India kuuziana mafuta Russia ana rupia hazina kazi.
Watu wamekusanya madorali manoti na manoti na kuyaficha maana pesa ya tz linakuwa limzigo likubwa sanaTatizo la dollar ni kubwa
Hazipatikani hizi PhD ni za nn?
Wananchi wanahaha.
Anza kwanza kujua nijins gani nchi inaweza kuongeza akiba ya fedha za kigeni nchi?Tatizo la dollar ni kubwa
Hazipatikani hizi PhD ni za nn?
Wananchi wanahaha.
Black market inafika hata 3000Duuuh rate ndo imefikia huku?
Ona ngumbaru huyu. Kifo cha dollar alafu watu tunahaha kuzitafuta?Kifo Cha dollar hakikwepeki baada ya Dunia kuachana nayo, dollar ilitumika kuzishikisha adabu nchi zilizokuwa kinyume na USA.