Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na hela maua yatakufata tu na hayatakwambia huna nguvu za kiumeLazima uwe na ua pembeni arooooo 😅 unagidaje bia mwenyewe mbona hazinogi.
kwasababu vijana tunapata ushahidi kila leo unaotuthibitishia ndoa ni utapeli,uhujumu, na upotevu wa mda,hisia,uwekezaji,na pesaHumu humu JF kuna ongezeko kubwa la team kataa ndoa
Kama huna huna tu hizo mbinu ni uongo kama asemavyo mkuu Mbaga JrKumbe Alkasusu, vumbi la Congo na supu ya pweza vilikuwa vinatibu dalili tu ila sio chanzo cha tatizo!
Dah😄😄Pesa zipo hasa awamu hii, ile awamu ya vyuma kukaza ilienda sambamba na kuongezeka kwa tatizo la nguvu za kiume.
Hii inakuwaje mkuu,. Tufungue macho kwanzahuko ndio kubaya zaidi usiombe ukutane na demu asiye na nguvu za kike utaumia
TigoooiKuna Dawa nyingine zaidi ya Pesa 😜😅
Kabisa...lazima mkono mmoja unapapasa paja ya mlebo huku unachungulia titi lake ndani ya crop topLazima uwe na ua pembeni arooooo 😅 unagidaje bia mwenyewe mbona hazinogi.
Pesa ndio mujaarabu wa hayo yote kwanza inaongeza mikofidensiDah😄😄
KwakweliPesa ndio mujaarabu wa hayo yote kwanza inaongeza mikofidensi
We unaelewa pesa ndo nguvu za kiumeKuna Dawa nyingine zaidi ya Pesa 😜😅
hatoi ute uteHii inakuwaje mkuu,. Tufungue macho kwanza
Sio ni kwasababu humwandai vizuri?hatoi ute ute
😂 kama zipo zipo tuHy n kama baraka za Mungu, kama huna n huna tuu ht ukilala vizuri na kufanya mazoezi na kama nguvu unazo bc unazo tuu ht kama kila chips mara tatu kwa siku kama dozi
hata akiandaliwa vipi ute hautoki, ni pakavu tu hakuna uteleziSio ni kwasababu humwandai vizuri?
Kuna wakati kulikuwa na kelele nyingi sana na matangazo kila kona kuhusu tatizo la nguvu za kiume na tiba mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume.
Sasa hivi ni kama harakati za kutafuta nguvu za kiume zimefifia sana, hazisikiki kelele nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari au mitandao kuhusu masuala ya nguvu za kiume.
Kulikoni? Nini kimetokea hadi kupelekea harakati hizo kupungua sana kama sio kupotea kabisa?