Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limepungua nchini?

ke bhana ukimpa mapenzi atataka muda ukimpa muda atataka pesa ukimpa pesa atataka ndoa ukimpa ndoa atataka talaka ukimpa talaka atataka mrudiane ili mradi tu aone unapata taabu
 

Watu wameforcus kwenye kutafuta pesa
Hata hivyo wanawake wa kizazi hiki nao hawana nguvu hivyo imebalance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…