The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mtu ana stress za maisha hata umuandae kwa masaa 10 ni kazi bure tu coz akili yake inakua ipo kwingine,Sio ni kwasababu humwandai vizuri?
Duuuhhata akiandaliwa vipi ute hautoki, ni pakavu tu hakuna utelezi
Hapo nakubaliana na wewe,.Mtu ana stress za maisha hata umuandae kwa masaa 10 ni kazi bure tu coz akili yake inakua ipo kwingine,
Stress ndio adui mkuu wa hizo zinazoitwa nguvu za kiume na kike,
Love is the feeling,it all starts with your mindset.
🤝😂 kama zipo zipo tu
Yes limepungua baada ya ndugu zetu Congo kututatulia tatzo Kwa kuleta vumbi la kwao Kwa iyo sa hiv tunatumia ,Kuna wakati kulikuwa na kelele nyingi sana na matangazo kila kona kuhusu tatizo la nguvu za kiume na tiba mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume.
Sasa hivi ni kama harakati za kutafuta nguvu za kiume zimefifia sana, hazisikiki kelele nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari au mitandao kuhusu masuala ya nguvu za kiume.
Kulikoni? Nini kimetokea hadi kupelekea harakati hizo kupungua sana kama sio kupotea kabisa?
hakika🤝
Na kama huna n huna tuu hata ufanye nn huna tuu.