Habari Ndugu zangu popote pale mlipo
Leo nimeingia Ofisini kwangu Mida ya saa 3 asubuhi ninakuta umeme umekatika. Na mpaka sasa ninapo andika ujumbe huu saa 7 na Daakika 55 mchana bado pakavu. Ndo najiuliza je, Tumesharudi Misri kwenye swala la upatikanaji wa umeme Mjini?
Maana katika kipindi cha Miaka kama 2 hivi tulikuwa tumesha sahau tatizo hili.
NI UBOVU WA MIUNDO MBINU ama HUJUMAAAAAAA?
π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨