Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Waandamanaji duniani kote wanalindwa na polisiDogo, ukiona chama cha upinzani Afrika kinaandamana na Polisi wanatoa ulinzi wa maandamano, Naibu Waziri Mkuu anapishana nao huku akiwapungia mkono na kutabasamu na Rais wa Nchi anaendelea na ziara zake ughaibuni bila wasiwasi tena huku akihimiza waandamanaji walindwe, basi ujue haya maandamano hayana tofauti na maandamano ya kuhimiza tohara kwa akina baba! 🤣🤣🤣🤣
Umeme ni vitu vya kijinga hii nchi ina-wajinga wengiSerikali iangushwe na vitu vya kijinga jinga
Kama ni ngumu kuiunga mkono chademaChadema hawapo kwa ajili ya wananchi mkuu, hawa wanalenga zaidi maslahi yao hasa ya uchaguzi na hii ndio agenda yao kubwa hizo zingine ni vikorombwezo tu. Angalau Mwabukusi angeweza eleweka na wananchi naona na yeye keshajichanganya huko kwa chadema. Tuwe wa kweli ni ngumu mno mtu mzalendo kuiunga mkono chadema sababu ni vigeugeu.
Chadema ya 2015 hadi 2021 ni tofauti kabisa na hii ya leo. Hii ya leo inataka kufanana na ile ya kuanzia 2015 kurudi nyuma ambayo ndio wananchi wengi waliipenda, sasa wamechelewa maana tabia zao halisi tulizijua enzi ya utawala wa JPM yaani walikuwa hawajui wanamtetea nani kati ya mtanzania na mwekezaji.
Ahahahahaha! Kweli kabisa! Halafu viongozi walio madarakani wanawapongeza kwa kudumisha demokrasia! Ahahahahaha!!!Waandamanaji duniani kote wanalindwa na polisi
Ulitaka waandamanaje sasaAhahahahaha! Kweli kabisa! Halafu viongozi walio madarakani wanawapongeza kwa kudumisha demokrasia! Ahahahahaha!!!
Kuna mahali nimezungumzia wafanye fujo?Ulitaka waandamanaje sasa
siasa sio uadui
Wewe unataka chadema watumie fujo uko tayari kujiunga na hizo fujo
Unataka wenzako waumie huku wewe umekaa nyuma ya keyboard tuacheni unafki
Ni ngumu sana watu wengi kuelewa logic behind andiko lako. Ila ukweli uko hapa wazi watanzania tumetapeliwa; Upinzani ule wa Mwanzo sio upinzani tunaohuona sasa.Dogo, ukiona chama cha upinzani Afrika kinaandamana na Polisi wanatoa ulinzi wa maandamano, Naibu Waziri Mkuu anapishana nao huku akiwapungia mkono na kutabasamu na Rais wa Nchi anaendelea na ziara zake ughaibuni bila wasiwasi tena huku akihimiza waandamanaji walindwe, basi ujue haya maandamano hayana tofauti na maandamano ya kuhimiza tohara kwa akina baba! 🤣🤣🤣🤣
Hivi unajua kuwa wewe, mimi na yule ndio tumewaajiri hao wanaoitwa serikali!?Chadema hawapo kwa ajili ya wananchi mkuu, hawa wanalenga zaidi maslahi yao hasa ya uchaguzi na hii ndio agenda yao kubwa hizo zingine ni vikorombwezo tu. Angalau Mwabukusi angeweza eleweka na wananchi naona na yeye keshajichanganya huko kwa chadema. Tuwe wa kweli ni ngumu mno mtu mzalendo kuiunga mkono chadema sababu ni vigeugeu.
Chadema ya 2015 hadi 2021 ni tofauti kabisa na hii ya leo. Hii ya leo inataka kufanana na ile ya kuanzia 2015 kurudi nyuma ambayo ndio wananchi wengi waliipenda, sasa wamechelewa maana tabia zao halisi tulizijua enzi ya utawala wa JPM yaani walikuwa hawajui wanamtetea nani kati ya mtanzania na mwekezaji.
Huku nilipo Mimi walikua hawakati km wakikata haizidi saa 1 unarudi sio hii ya masaa 13 bila umemeUbovu ulianza kipindi chake huyo unamuita mwamba. Huu ni mwendelezo tu. Na usitudanganye kuwa eti umeme ulikuwa haukatiki kipindi chake
Wewe unataka waandamanajeKuna mahali nimezungumzia wafanye fujo?
Nilishaandika hapo nyuma, upinzani inabidi ubadilike, tatizo letu tunakosa vichwa zaidi vitakavyoleta vitu vingine vipya. Ni kweli kuna baadhi ya vichwa kwenye safu ya upinzani, ila haviwezi kutusua peke yao.Ni ngumu sana watu wengi kuelewa logic behind andiko lako. Ila ukweli uko hapa wazi watanzania tumetapeliwa; Upinzani ule wa Mwanzo sio upinzani tunaohuona sasa.
Unajua narrative iko wazi,wapinzani hawa walivishwa njaa kali sana wakati wa Magufuli na lengo ni kuwarahinisha, nakuhakikishia wanatepeta kwelikweli, na ni kweli walipitia chuma cha moto, wote ni mashahidi na kwa hilo nawapa pole. Sasa unajua adui muombee njaa, siku Mh Mbowe anatoka jela na kwenda moja kwa moja ikulu bila kupita popote na bila kuwa na mwakilishi yeyote wa chama chake, then tukaona vikao vya usuluhishi bila instant na reliable feeback of what exactly transpired in those closed door meetings.Pale ndipo nilipokata tamaa, waswahili wanasema kunusa harufu mbaya.
Kibaya tukasikia wapinzani wamelipwa malimbikizo yao yote ya miaka yote, wakaweza kujenga angalau kajengo ka chama, kiufupi Chama cha upinzania kikishaanza kuwa financed na chama tawala kwa njia yeyote ile basi hicho kinakuwa chama cha kuverify nchi ina utawala wa sheria na uchanguzi wa kidemokrasia.
Hakika tunasafari ndefu ya ukombozi wa mtanzania. Sitegemei hii safu ya sasa ya upinzani kuleta changes;the real changes.
Thank you for your literally analysis!Ni ngumu sana watu wengi kuelewa logic behind andiko lako. Ila ukweli uko hapa wazi watanzania tumetapeliwa; Upinzani ule wa Mwanzo sio upinzani tunaohuona sasa.
Unajua narrative iko wazi,wapinzani hawa walivishwa njaa kali sana wakati wa Magufuli na lengo ni kuwarahinisha, nakuhakikishia wanatepeta kwelikweli, na ni kweli walipitia chuma cha moto, wote ni mashahidi na kwa hilo nawapa pole. Sasa unajua adui muombee njaa, siku Mh Mbowe anatoka jela na kwenda moja kwa moja ikulu bila kupita popote na bila kuwa na mwakilishi yeyote wa chama chake, then tukaona vikao vya usuluhishi bila instant na reliable feeback of what exactly transpired in those closed door meetings.Pale ndipo nilipokata tamaa, waswahili wanasema kunusa harufu mbaya.
Kibaya tukasikia wapinzani wamelipwa malimbikizo yao yote ya miaka yote, wakaweza kujenga angalau kajengo ka chama, kiufupi Chama cha upinzania kikishaanza kuwa financed na chama tawala kwa njia yeyote ile basi hicho kinakuwa chama cha kuverify nchi ina utawala wa sheria na uchanguzi wa kidemokrasia.
Hakika tunasafari ndefu ya ukombozi wa mtanzania. Sitegemei hii safu ya sasa ya upinzani kuleta changes;the real changes.
Misri. Tunisia, algeriaDogo, ukiona chama cha upinzani Afrika kinaandamana na Polisi wanatoa ulinzi wa maandamano, Naibu Waziri Mkuu anapishana nao huku akiwapungia mkono na kutabasamu na Rais wa Nchi anaendelea na ziara zake ughaibuni bila wasiwasi tena huku akihimiza waandamanaji walindwe, basi ujue haya maandamano hayana tofauti na maandamano ya kuhimiza tohara kwa akina baba! 🤣🤣🤣🤣
Hivi unajua kuwa wewe, mimi na yule ndio tumewaajiri hao wanaoitwa serikali!?
Hivi unaweza kuwawajibisha serikali kwa huu ushenzi wa umeme kwa sasa!!??
Hapo ndipo linapokuja swala la katiba mpya ya wananchi ili sisi kama waajiri wa hao wa serikalini, tuweze kuwa na nguvu ya kuwawajibisha pale wanapokosea.
Chama cha siasa lengo kuu ni kushinda chaguzi na kuingia ikulu.
Kama unaona CHADEMA haina msaada kwa Watanzania, unaweza wewe kusaidia kama mwanaharakati.
Aaah, ndivyo unavyodhani siyo?Dogo, ukiona chama cha upinzani Afrika kinaandamana na Polisi wanatoa ulinzi wa maandamano, Naibu Waziri Mkuu anapishana nao huku akiwapungia mkono na kutabasamu na Rais wa Nchi anaendelea na ziara zake ughaibuni bila wasiwasi tena huku akihimiza waandamanaji walindwe, basi ujue haya maandamano hayana tofauti na maandamano ya kuhimiza tohara kwa akina baba! 🤣🤣🤣🤣