Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

Joined
Dec 26, 2015
Posts
68
Reaction score
46
Wakuu kwema, wajuzi wa mambo ya umeme msaada tafadhali. Kimsingi nyumba ninayoishi haijafikiwa na umeme wa tanesco na sababu ni mtaa ninaoishi umepitiwa na mradi wa Rea na mimi sikuwa mnufaika kwakuwa nilichelewa kuhamia hivyo nimeambiwa nisubiri miezi 18 tangu tarehe ya kukabidhiwa kwa mradi ndipo ntaruhusiwa kufanya maombi.

Concern yangu ni juu ya huu umeme wa solar nilioamua kufunga baada ya kukutana na changamoto kama nilivyoeleza. Nilitafuta fundi kwaajili ya kunipa tathmini ya matumizi yangu na mahitaji ya mfumo wasolar.

Fundi nilimueleza nahitaji kutumia friji ndogo, taa zizipongua nane, tv pamoja na laptop na alinishauri kuwa nahitaji solar isiyopungua wat 500 pia betry N200 na inveter wat1000 na charger controler.

Na pia nyumba yangu nilikuwa nishafanya wiring kwaajili ya huu umeme wa tanesco lakini fundi alinihakikishia kuwa haina shida ntatumia wiring hiyohiyo.

Kwa kufuata ushauri wa fundi nilinunua betry n100 mbili inveter hiyo ya wat1000, charger controler na solar wat 560 nikafunga na ilikuwa kiangazi jua la kutosha lakini mwenendo wake nikawa siulewi sababu niliweza kutumia tv taa na laptop na mwisho ilikuwa mida ya saa sita usiku inazima.

Nikatafuta fundi mwingine akabadili uelekeo wa solar kutoka upande ambao haukuwa na jua sana akaiweka upande wenye jua hali ikawa nzuri kidogo japo sio sana na akanishauri kubadili inverter toka hizi za dukani akaniuzia inverter aliyoitengeneza yeye imeleta mabadiliko kidogo sana.

Naomba kujua kama hali hiyo ni sawa kwani naona kama nina mfumo mkubwa lakini matumizi madogo na bado sitoboi ikizingatia kwenye matumizi yangu friji sijawahi kutumia kabisa.

Naambatanisha picha ya jinsi nilivyofungiwa mfumo pamoja na inverter ya zamani.
 

Attachments

  • 153B2F1E-2625-48B9-ACF6-F840099244CB.jpeg
    153B2F1E-2625-48B9-ACF6-F840099244CB.jpeg
    400 KB · Views: 1
  • A2F9E4FF-F363-46B6-B839-0706B86D2CF4.jpeg
    A2F9E4FF-F363-46B6-B839-0706B86D2CF4.jpeg
    465.4 KB · Views: 1
Umenifurahisha sana! Umeme wa Solar unataka uplan kwanza.
 
huo mfumo ni mkubwa sana lakini kuna vitu vinavyoweza kula umeme kwa kiasi kikubwa unatumia taa za watt ngapi... na tv yako ina ukubwa kiasi gani only that...
 
Wakuu kwema, wajuzi wa mambo ya umeme msaada tafadhali. Kimsingi nyumba ninayoishi haijafikiwa na umeme wa tanesco na sababu ni mtaa ninaoishi umepitiwa na mradi wa Rea na mimi sikuwa mnufaika kwakuwa nilichelewa kuhamia hivyo nimeambiwa nisubiri miezi 18 tangu tarehe ya kukabidhiwa kwa mradi ndipo ntaruhusiwa kufanya maombi.

Concern yangu ni juu ya huu umeme wa solar nilioamua kufunga baada ya kukutana na changamoto kama nilivyoeleza. Nilitafuta fundi kwaajili ya kunipa tathmini ya matumizi yangu na mahitaji ya mfumo wasolar.

Fundi nilimueleza nahitaji kutumia friji ndogo, taa zizipongua nane, tv pamoja na laptop na alinishauri kuwa nahitaji solar isiyopungua wat 500 pia betry N200 na inveter wat1000 na charger controler.

Na pia nyumba yangu nilikuwa nishafanya wiring kwaajili ya huu umeme wa tanesco lakini fundi alinihakikishia kuwa haina shida ntatumia wiring hiyohiyo.

Kwa kufuata ushauri wa fundi nilinunua betry n100 mbili inveter hiyo ya wat1000, charger controler na solar wat 560 nikafunga na ilikuwa kiangazi jua la kutosha lakini mwenendo wake nikawa siulewi sababu niliweza kutumia tv taa na laptop na mwisho ilikuwa mida ya saa sita usiku inazima.

Nikatafuta fundi mwingine akabadili uelekeo wa solar kutoka upande ambao haukuwa na jua sana akaiweka upande wenye jua hali ikawa nzuri kidogo japo sio sana na akanishauri kubadili inverter toka hizi za dukani akaniuzia inverter aliyoitengeneza yeye imeleta mabadiliko kidogo sana.

Naomba kujua kama hali hiyo ni sawa kwani naona kama nina mfumo mkubwa lakini matumizi madogo na bado sitoboi ikizingatia kwenye matumizi yangu friji sijawahi kutumia kabisa.

Naambatanisha picha ya jinsi nilivyofungiwa mfumo pamoja na inverter ya zamani.
Hakuna mchawi hapo, Umenunua system ndogo sana capacity yake itakusumbua.

Mimi natumia solar kwa mwezi sasa nina panel 24 za watt 615 kila moja, Nina inverters 3 zenye MPPT zilizokuwa paralled kila moja ina 5.5Kw Jumla 16.5kW na Battery ya 14.5kw.

IMG_5429.jpeg



Nawasha KILA kitu Fridge kubwa, Oven, Induction Cooker, Air Fryer, Microwave, Washing Machines na Computers, Routers mpaka machine za Welding etc na sijawahi kumaliza battery. Mpaka nimeacha kutumia gesi maharage nachemshia Induction cooker la 2500W.

Ukinunua usiweke system ya mawazo. Aim kureplace umeme wa TANESCO kwa ujumla ukichagua system ndogo utakuwa dissapointed
 
Hakuna mchawi hapo, Umenunua system ndogo sana capacity yake itakusumbua.

Mimi natumia solar kwa mwezi sasa nina panel 24 za watt 615 kila moja, Nina inverters 3 zenye MPPT zilizokuwa paralled kila moja ina 5.5Kw Jumla 16.5kW na Battery ya 14.5kw.

View attachment 3259016


Nawasha KILA kitu Fridge kubwa, Oven, Induction Cooker, Air Fryer, Microwave, Washing Machines na Computers, Routers mpaka machine za Welding etc na sijawahi kumaliza battery. Mpaka nimeacha kutumia gesi maharage nachemshia Induction cooker la 2500W.

Ukinunua usiweke system ya mawazo. Aim kureplace umeme wa TANESCO kwa ujumla ukichagua system ndogo utakuwa dissapointed
Mkuu hii gharama yake shingapi kufunga system yote
 
Wakuu kwema, wajuzi wa mambo ya umeme msaada tafadhali. Kimsingi nyumba ninayoishi haijafikiwa na umeme wa tanesco na sababu ni mtaa ninaoishi umepitiwa na mradi wa Rea na mimi sikuwa mnufaika kwakuwa nilichelewa kuhamia hivyo nimeambiwa nisubiri miezi 18 tangu tarehe ya kukabidhiwa kwa mradi ndipo ntaruhusiwa kufanya maombi.

Concern yangu ni juu ya huu umeme wa solar nilioamua kufunga baada ya kukutana na changamoto kama nilivyoeleza. Nilitafuta fundi kwaajili ya kunipa tathmini ya matumizi yangu na mahitaji ya mfumo wasolar.

Fundi nilimueleza nahitaji kutumia friji ndogo, taa zizipongua nane, tv pamoja na laptop na alinishauri kuwa nahitaji solar isiyopungua wat 500 pia betry N200 na inveter wat1000 na charger controler.

Na pia nyumba yangu nilikuwa nishafanya wiring kwaajili ya huu umeme wa tanesco lakini fundi alinihakikishia kuwa haina shida ntatumia wiring hiyohiyo.

Kwa kufuata ushauri wa fundi nilinunua betry n100 mbili inveter hiyo ya wat1000, charger controler na solar wat 560 nikafunga na ilikuwa kiangazi jua la kutosha lakini mwenendo wake nikawa siulewi sababu niliweza kutumia tv taa na laptop na mwisho ilikuwa mida ya saa sita usiku inazima.

Nikatafuta fundi mwingine akabadili uelekeo wa solar kutoka upande ambao haukuwa na jua sana akaiweka upande wenye jua hali ikawa nzuri kidogo japo sio sana na akanishauri kubadili inverter toka hizi za dukani akaniuzia inverter aliyoitengeneza yeye imeleta mabadiliko kidogo sana.

Naomba kujua kama hali hiyo ni sawa kwani naona kama nina mfumo mkubwa lakini matumizi madogo na bado sitoboi ikizingatia kwenye matumizi yangu friji sijawahi kutumia kabisa.

Naambatanisha picha ya jinsi nilivyofungiwa mfumo pamoja na inverter ya zamani.
Fundi alikwambia ununue betri la N200 ukanunua La N100, kwakifupi unatumia umeme wa betri kumbe solar panel nikwaajili ya kulichaji betri kwa msaada wa regulator, regulator kazi yake ni kuhakikisha umeme hauzidi ule unaohitajika kuchaji betri

Ili umeme wako udumu utategemea nguvu ya betri na ukubwa wa solar panel bila kusahau uwezo wa vifaa vya mtumiaji, kama vifaa vyako vinahitaji umeme mwingi basi umeme hautakaa muda mrefu

Hitimisho aina ya betri Ndiyo husabisha umeme wake ukae kwa muda mrefu lakini kama vifaa vyako vinattumia umeme mwingi, huo umeme utaishi haraka
 
Hakuna mchawi hapo, Umenunua system ndogo sana capacity yake itakusumbua.

Mimi natumia solar kwa mwezi sasa nina panel 24 za watt 615 kila moja, Nina inverters 3 zenye MPPT zilizokuwa paralled kila moja ina 5.5Kw Jumla 16.5kW na Battery ya 14.5kw.

View attachment 3259016


Nawasha KILA kitu Fridge kubwa, Oven, Induction Cooker, Air Fryer, Microwave, Washing Machines na Computers, Routers mpaka machine za Welding etc na sijawahi kumaliza battery. Mpaka nimeacha kutumia gesi maharage nachemshia Induction cooker la 2500W.

Ukinunua usiweke system ya mawazo. Aim kureplace umeme wa TANESCO kwa ujumla ukichagua system ndogo utakuwa dissapointed
This is the dream!

Hongera sana mkuu.

Vitu vyote hivyo vinapatikana hapa TZ locally au ilibidi uagize nje?

Unaweza kushare bei ya panel 1, inverter 1 na hilo battery?
 
Back
Top Bottom