Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa.This is the dream!
Hongera sana mkuu.
Vitu vyote hivyo vinapatikana hapa TZ locally au ilibidi uagize nje?
Unaweza kushare bei ya panel 1, inverter 1 na hilo battery?
Safi sanaHakuna mchawi hapo, Umenunua system ndogo sana capacity yake itakusumbua.
Mimi natumia solar kwa mwezi sasa nina panel 24 za watt 615 kila moja, Nina inverters 3 zenye MPPT zilizokuwa paralled kila moja ina 5.5Kw Jumla 16.5kW na Battery ya 14.5kw.
View attachment 3259016
Nawasha KILA kitu Fridge kubwa, Oven, Induction Cooker, Air Fryer, Microwave, Washing Machines na Computers, Routers mpaka machine za Welding etc na sijawahi kumaliza battery. Mpaka nimeacha kutumia gesi maharage nachemshia Induction cooker la 2500W.
Ukinunua usiweke system ya mawazo. Aim kureplace umeme wa TANESCO kwa ujumla ukichagua system ndogo utakuwa dissapointed
Mtu wa maana kabisa!Safi sana
View attachment 3259668
Price na specs ya battery na inverter please sirSafi sana
View attachment 3259668
Inverter 5.3KW @ $400; lithium battery 100ah 48v @ $ 600! Kila inverter inabeba panel 9 za 560W @ $60. Hapo ni three phase! Kumbuka hii ni nyumba ya kulala si ofisi. Matumizi makubwa ya umeme ni usiku.Price na specs ya battery na inverter please sir
Sourced from TZ au online? Kama tungepata link ya kujitazamia window shopping mkuu.Inverter 5.3KW @ $400; lithium battery 100ah 48v @ $ 600! Kila inverter inabeba panel 9 za 560W @ $60. Hapo ni three phase! Kumbuka hii ni nyumba ya kulala si ofisi. Matumizi makubwa ya umeme ni usiku.
Nilinunua N100 betry mbili jumla N200Fundi alikwambia ununue betri la N200 ukanunua La N100, kwakifupi unatumia umeme wa betri kumbe solar panel nikwaajili ya kulichaji betri kwa msaada wa regulator, regulator kazi yake ni kuhakikisha umeme hauzidi ule unaohitajika kuchaji betri
Ili umeme wako udumu utategemea nguvu ya betri na ukubwa wa solar panel bila kusahau uwezo wa vifaa vya mtumiaji, kama vifaa vyako vinahitaji umeme mwingi basi umeme hautakaa muda mrefu
Hitimisho aina ya betri Ndiyo husabisha umeme wake ukae kwa muda mrefu lakini kama vifaa vyako vinattumia umeme mwingi, huo umeme utaishi haraka
Bei ni za kuagiza China moja kwa moja. Kuchukua hapa kimeo. Tafuta AlibabaSourced from TZ au online? Kama tungepata link ya kujitazamia window shopping mkuu.
Kwa residence battery ni jambo la msingi sana kwasababu consumption kubwa ni.kuda ambao jua hamna with the exception ya AC labda
Umesomeka mkuuBei ni za kuagiza China moja kwa moja. Kuchukua hapa kimeo. Tafuta Alibaba
Hapa ungechukua Zola by cash haya mambo yangekuwa mazuri kwako sana!! Wnakupa tv 32 inch, taa 15 umeme masaa 24Inverter nilinunua 100000 betry 250000 kwa moja charger control ya dukani 90000 kwa hiyo ya mtumba 130000 solar 370000 pamoja na usafiri niliagiza zambia niliambiwa huko wana exemption kwahyo bei rahisi.
Mhe, kuna vitu lazima ufahamu;Nilinunua N100 betry mbili jumla N200
KahawaUnakuwa kama solar ila huo nyaya haziunganishwi na solar panel ila inabidi uchomeke yanakotoka mavi yaani chooni
Na unabidi uwe na transformer maana umeme wake ni mkali mnoooooooooooo!!!
sIo kwel,hata zola ikifika saa 6 usiku tv inazima,unabak kuchaji simu na kuwasha taa tuHapa ungechukua Zola by cash haya mambo yangekuwa mazuri kwako sana!! Wnakupa tv 32 inch, taa 15 umeme masaa 24
Kahawa?Kahawa
Ikiwemo weweKila Mtanzania huwa ni mjuzi wa kila kitu,
mkuu kongole,,,hii system ni kwa ajili ya farm, kiwanda au?Mimi natumia solar kwa mwezi sasa nina panel 24 za watt 615 kila moja, Nina inverters 3 zenye MPPT zilizokuwa paralled kila moja ina 5.5Kw Jumla 16.5kW na Battery ya 14.5kw.