mtafiti muelewa
Senior Member
- Oct 16, 2013
- 186
- 103
pole sana kwa tatizo hili kuna sabuni inaitwa ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP ni kiboko ya hilo tatizo na matatizo mengi ya ngozi. waweza kunitafuta kwa namba 0657317631 nikuelekeze kwa kuipata.Naomba msaada kwani kila ni ki shave kwa machine... iwe kila baada ya siku 5.. then na kandwa na maji moto... scrub,, na kutumia aina tofauti za after shave lakini tatizo bado.. Napenda kuuliza tofauti na Magic . Ni remover ipi naweza tumia bila kuhusisha mashine na kuacha ngoz yangu bila vipele kwani ngozi yangu ni higher sensitive .
😀naona umeamua kuweka mpaka Picha yako.wasukuma bana
Kulikuwa na haja ya kuweka sura kweli tena na pozi juu. Kesho ukiikuta kwenye mitandao ya mashoga usishangae, unless ilikuwa ndio dhamira yako, kuuza sura.
Ukizifga zinawaxha ile mbya.....Ishu nyingine zinyoe kutokana na uotaji na uelekeo wake ukienda against haviachi mzeeeee.... ZIFUGE TU
P1 kaka,Naxhkuru kwa uxhauri wakoMkuu naona mpaka umefungua na ID kabisa.
Any way ngoja nikupe kaushauri kidogo.
1. Ukinyoa ndevu tumia mashine nzuri, usitumie mashine zinazokwangua ngozi tumia zinazonyoa ndevu..naimani umeelewa hapo namaanisha kitu gani. Au tumia magic powder kama unaweza.
2. Ukimaliza kunyoa jifute kwa kitambaa cha maji moto.
3. Then, jipake After Shave.
Baada ya hapo utaleta mrejesho
Nunua dawa inaitwa Pamp Patrol , nenda duka la vipodozi.
Hiyo ni dawa ya kutibu vipele. Fanya hivyo chap
Asipo elewa hapa tena!!Mkuu naona mpaka umefungua na ID kabisa.
Any way ngoja nikupe kaushauri kidogo.
1. Ukinyoa ndevu tumia mashine nzuri, usitumie mashine zinazokwangua ngozi tumia zinazonyoa ndevu..naimani umeelewa hapo namaanisha kitu gani. Au tumia magic powder kama unaweza.
2. Ukimaliza kunyoa jifute kwa kitambaa cha maji moto.
3. Then, jipake After Shave.
Baada ya hapo utaleta mrejesho
Pamoja sanaP1 kaka,Naxhkuru kwa uxhauri wako
hahahahaha😂😂😂naona umeamua kuweka mpaka Picha yako.wasukuma bana