Habari wanaJF,
Familia yangu hususani mwanangu wa kike amekuwa akisumbuliwa na muwasho wa vipere vidogo vidogo ambavyo sometimes hutoa maji kidogo pindi vikikunwa sn, nimeshamfanyia full blood picture ikaonyesha ana-contaminationa ya level 14; nimejaribu dawa zote kuanzia kupaka hadi ya kumeza but haijasaidia. mwanzoni hata mm nilianza kuwashwa but ya kupaka sonadem ambayo hata yy nshawahi kumpaka nilipona;
je naweza elekezwa nn kifanyike zaidi ili mwanangu apone?
Familia yangu hususani mwanangu wa kike amekuwa akisumbuliwa na muwasho wa vipere vidogo vidogo ambavyo sometimes hutoa maji kidogo pindi vikikunwa sn, nimeshamfanyia full blood picture ikaonyesha ana-contaminationa ya level 14; nimejaribu dawa zote kuanzia kupaka hadi ya kumeza but haijasaidia. mwanzoni hata mm nilianza kuwashwa but ya kupaka sonadem ambayo hata yy nshawahi kumpaka nilipona;
je naweza elekezwa nn kifanyike zaidi ili mwanangu apone?