Tatizo la usingizi

Ni kutokana ulivyo. Jizoesha, jaribu kuwa bize usikae sehem moja Dear
Mamboz!
Kuna kipindi nilikuwa nakosa usingizi naweza kulala sa 7 nikaamka saa 12 ila kwa sasa nimekuwa ni mtu wa kulala sana na kila muda nasikia usingizi.....
Je,hili ni tatizo au hali ya kawaida?
 
Hivo vyote hapo sina ila cha kushangaza ndo usingizi nausikia kila muda
 
pole mkuu Fanya mapenzi kila siku kwa muda wa siku 30 tatizo hilo litaisha kabisa
 
Hahahahahaaaaa aiseeeee sasa nitapewa dawa gani mmmmhhh
Hahahaha
Nenda kacheck kama umepata huo ugonjwa trypanosomiasis known as sleeping sickness ambao unasababishwa na trypanosoma.

Dawa zake zipo kama dawa zingine vile ila nenda hospital ukacheck kama ni serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…