Tatizo la usingizi

Kamuone daktari @ dada! Ukafanye vipimo ikiwemo cha sukari, safura , ujauzito , n.k
 
Itakaponekana Huna tatizo baada ya vipimo kadhaa basi Ujue hiyo hali itakuwa ya mpito baada ya muda utakuwa kawaida tu
 
Jibu swali
Mwili umechoka unahitaji kupumzishwa. Usingizi una tawaliwa na brain kwahiyo mwili ukichoka ubongo una switch on sehemu inayohusika na usingizi mpaka mwili utakapo kuwa sawa, umeelewa??!!!
 
Mwili umechoka unahitaji kupumzishwa. Usingizi una tawaliwa na brain kwahiyo mwili ukichoka ubongo una switch on sehemu inayohusika na usingizi mpaka mwili utakapo kuwa sawa, umeelewa??!!!
Muda mwingi uwa nakuwa sifanyi kazi.....sasa huko kuchoka kunatokea wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…