Jamani naombeni msaada wenu, nina UUME yenye nchi 7.6 na ikisimama wima inapinda kuelekea kushoto, kila nikifanya mapenzi akina dada wanalalamika kusikia maumivu. Jamani nifanyeje
kusoma hapo tu tayari nshaanza kupumulia mipira kwa wivu...bby utapata ukimwi we haya,si unajua kuna ukimwi eh!!..kwanza yako inanitosha mimi tu,ukiigawa utagandana.
Haha...ayaa bby...siigawii...
sasa jeee...we unafaa kwa matumizi yangu tu!.wengne utaua upate kesi bure
Pole, wadogo zangu kazini - ni ndoto za mchana anaota msamehe burewewe hivi inch 7.6 unajua ni cm ngapi??
hapa unaurefu wa cm zisizopungua 22............hebu chukua rula yako ya cm 30 utabakiza cm 8 tu ulingane nayo.........
ushauri wangu kwako upeleke ukawe modo ya kufundishia kuhusu uvaaji wa condom badala ya kutumia kigogo cha mpingo tuutumie huo.
otherwise ongea na watoa dawa za kurefusha uume/nguvu za kiume wakufanye modo upate hela za fasta brodah!!
dude lako linafaa kwa pornography
peleka huko ukarekidiwe upate kipato..promo ushafanya
na wewe huwa unawatch porno?
hapana...
umejuaje madushe makubwa ndiyo wanatakiwa kwenye porno?
Jamani naombeni msaada wenu, nina UUME yenye nchi 7.6 na ikisimama wima inapinda kuelekea kushoto, kila nikifanya mapenzi akina dada wanalalamika kusikia maumivu. Jamani nifanyeje
..hivi zipo teams humu eeh!!Wapi team virungu...? Hawa hawatajali imeinamia ipande gani kushoto au kulia bora ndefu!