Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

We unafanya mapenzi na watoto unategemea nini !

Jamani naombeni msaada wenu, nina UUME yenye nchi 7.6 na ikisimama wima inapinda kuelekea kushoto, kila nikifanya mapenzi akina dada wanalalamika kusikia maumivu. Jamani nifanyeje
 
kusoma hapo tu tayari nshaanza kupumulia mipira kwa wivu...bby utapata ukimwi we haya,si unajua kuna ukimwi eh!!..kwanza yako inanitosha mimi tu,ukiigawa utagandana.

Haha...ayaa bby...siigawii...
 
..kweli kiwango cha elimu kiko chini, vijana hata vipimo vinawashinda..
 
wewe hivi inch 7.6 unajua ni cm ngapi??

hapa unaurefu wa cm zisizopungua 22............hebu chukua rula yako ya cm 30 utabakiza cm 8 tu ulingane nayo.........

ushauri wangu kwako upeleke ukawe modo ya kufundishia kuhusu uvaaji wa condom badala ya kutumia kigogo cha mpingo tuutumie huo.

otherwise ongea na watoa dawa za kurefusha uume/nguvu za kiume wakufanye modo upate hela za fasta brodah!!
Pole, wadogo zangu kazini - ni ndoto za mchana anaota msamehe bure
 
Strictly, hii thread inatakiwa iende ama JF Doctor au JLW. INNOVATOR plz do something.
 
Last edited by a moderator:
du, lipeleke makumbusho ya maabara, uongo mwingine, ila ukitaka tuamini tuwkee na picha maana inabidi uweke rekodi, cpati picha likivimba kwenye basi la mbagala halafu umesimama.
 
Jamani naombeni msaada wenu, nina UUME yenye nchi 7.6 na ikisimama wima inapinda kuelekea kushoto, kila nikifanya mapenzi akina dada wanalalamika kusikia maumivu. Jamani nifanyeje

Nenda hospitali watkuwekea kipimo ambacho ukifanya mapenzi hapo patakua ndio mwisho yaani hutakiwi kuingiza zaidi ya hapo
 
Uwe na ndogo, uwe na ndefu ni Ujuzi ndilo jambo la muhimu. Unaweza ukawa na ndeefu ikawa inachoma tu unaumia. Unaweza ukawa na fupi ukawa unahisi km kimjusi.

Unaweza ukawa na ndoogo kwa maujanja anayoyatumia ukahisi km dunia yote ni yako. So haijalishi kuwa mjanja. Hata km imepinda tafuta maujuzi ambayo hutaweza kumuumiza mwenzio....Mtayarishe mwenzio ipasavyo kwanza...
 
Utakua umeteguka huo. Upeleke Hospitali ukafungiwe POP.
 
Wapi team virungu...? Hawa hawatajali imeinamia ipande gani kushoto au kulia bora ndefu!
 
Back
Top Bottom