..hivi zipo teams humu eeh!!
nachaguaje temam yangu??
Teheeee zipo kaka wajuaji watakwambia ila mi naijua team vibamia na team virungu lol. Ngoja tusimuudhi mtoa mada mwache aendelee kupata maushauri. Karibu team vibamia mie ndo nimejikita huko kutenguliwa maini staki lol
Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.
Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha
Tafuta kichongeo utanyooka tu mkuu!
du aisee utakuwa na dude la maana hadi raha maana waliotahiriwa udogon weng ni vibamia loo mwe hadi mate yamenitokawakuu
umri wangu ni miaka 24, nimechelewa sana kufanya tohara, nimetahiriwa miezi mitatu iliopita , tangu nifanye tohara naona kuna mabadiliko mengi, kwanza uume umeongezeka urefu, pili unasimama dede mara kwa mara na kwa muda mrefu hadi nahisi maumivu na tatu umepinda kushoto.
Kwa unyenyekevu naomba msaada wenu
Au amuone fundi seremala aunyooshee..
du aisee utakuwa na dude la maana hadi raha maana waliotahiriwa udogon weng ni vibamia loo mwe hadi mate yamenitoka
ha ha haha nimekumbuka kitu......
Hahaaaaaaa nimeipenda hii #pussytropism
Duh jF