Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Hili swali akina dada watakusaidia sana manake ndo walengwa.
 
Yeah, una madhara sana, unaweza kuupindisha uke, maana unakuwa kama unachoronga.
 
Inasemekana kuwa Wanaume wote duniani UUME wao UMEPINDA either kulia au kushoto au kwenda juu kama kifaru au kupindia kwa chini ukiwa umesimama? " lakini hakuna Mwanaume ambaye uume wake umenyooka wakati ukiwa UMESIMAMA au KUDINDA huko.

Najua humu kuna Wataalam wa masuala haya ya MAUMBILE ya KIBAILOJIA hivyo naomba tusaidiane ni kitu ambacho KIMETHIBITIKA. Huko kupinda kwake kunatokana na nini au kuna maana gani labda?

Karibuni.
 
Hakuna mwanaume uume umenyooka, kwan we jinsia gan?
 
Back
Top Bottom