Tatizo la uume kusimama kila mara naomba msaada

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Naomba msaada kwani sasa ni wiki ya tatu nilisafiri Sumbawanga kwa shughul za hapa na pale nilikuwa natumia vyakula vya asili.

Sasa toka nimerudi mjini napata tabu, Uume muda wote unasimama mpaka inakuwa fedheha mbele za watu.

Kwa mfano. Nikikaa sehemu yoyote haipiti dk.2 chuma kinainuka halafu kinakomaa balaa, sasa nikitaka kunyanyuka inakua mtihani najaribu kuipooza kwa kutovuta pumzi lakini wapi. Naomba msaada.

Asubuhi daladala limefika kituoni naogopa kushuka chuma kimekomaa hakipoi watu woote wameshuka nikazuga kama naumwa tumbo manake hata kusimama ingekuwa ni aibu!

Naomba msaada.
 
Mjomba unataka uwe bwabwann huo ndio mpango na ndio maana tunaambiwa kula mlo wa asili shukuru mungu wengine hawapati hali hiyo
 
Inaweza kua ni Kiki hii kwa jicho la tatu...... Pia ungekua hausimami ungeomba ushauri,mitanzania ndio tulivyo
 
Chezea Sumbawanga jombaa, bahati yako hawajakuhamishia mimba toka kwa mabinti wa huko???
 
jamani sio vizuri mpeni pole mwenzenu, ile kitu ikisimama ni noma labda uwe nyumbani kwako tu
 
Lipigishe mgalala ilo dushe lita sizi lenyewe
 
Mjomba unataka uwe bwabwann huo ndio mpango na ndio maana tunaambiwa kula mlo wa asili shukuru mungu wengine hawapati hali hiyo
Mkuu nina wasiwasi
Hii hali si ya kawaida
Imezidi kipimo
 
Inaweza kua ni Kiki hii kwa jicho la tatu...... Pia ungekua hausimami ungeomba ushauri,mitanzania ndio tulivyo
Hata mimi nina mawazo kama ya kwako...
mitanzania ndivyo tulivyo
 
tuufanyie upasuaji kiwe kibamia hata akisimama hajulikani
 
jamani sio vizuri mpeni pole mwenzenu, ile kitu ikisimama ni noma labda uwe nyumbani kwako tu
Kweli nipewe pole
Kama ingesimamia nyumbani tu
Nisinge msumbueni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…