Tatizo la uume kuvimba na kuuma

tororoka

Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
16
Reaction score
3
Naomba msaada kujua tatizo la uume kuvimba na kuuma laweza kuwa ni ugonjwa gani na tiba yake ni nini?
 
Madhara ya dawa za kuongeza nguvu na manjonjo..
 
Niliweka huu uzi baada ya rafiki kuniambia kuwa siku moja asubuhi aliamka akakuta uume umevimba na hajatumia chochote kama maoni ya watu wengi yalivyokuwa. Baada ya siku tatu anaeleza kuwa alikuwa sawa bila hata ya kutumia dawa yoyote
 
Niliweka huu uzi baada ya rafiki kuniambia kuwa siku moja asubuhi aliamka akakuta uume umevimba na hajatumia chochote kama maoni ya watu wengi yalivyokuwa. Baada ya siku tatu anaeleza kuwa alikuwa sawa bila hata ya kutumia dawa yoyote
Wacha weee....kubali yalikukuta mkùu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…