Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Tatizo ni kwamba sex desire inakuwa na nguvu kubwa sana katika binadamu na ukiweka sheria kali kunaweza kuwaumiza watu.
Sheria kama hizi: ukimtia mimba mtoto wa shule,miaka thelathini jela.
Inakuwa vigumu kumpa mtu training ambayo inamwezesha kujikinga na hizo dangers,kwa hiyo inaonekana ni afadhali adhabu ziwe lenient.
Lakini kama ukitaka seriously kuyatanzua haya matatizo,mashoga lazima wawe castrated,,( chemically castrated). In fact,watu wote wanaotenda serious sins wanapaswa kuwa castrated.
Actually Bwana Yesu ndiye anayetaka watu wanaofanya vituko wawe castrated,lakini tukimtaja "Yesu",tuaulizwa,kasema lini,kasema wapi?
Tatizo ni desire,ni mind control,thought control,ili watu waweze kushinda vishawishi,kuishinda ennui.
Na hao watu wa Vatican,they are Past Masters in making ambiguous statements. Ukianza kuuliza Askofu huyu kasema nini na Askofu yule kajibu nini,au Baraza la Maaskofu Malawi au Kenya wamesema nini,utajitaabisha bure. We ukisikia watu wameshikana mashati,that is when you should pay attention.
Sheria kama hizi: ukimtia mimba mtoto wa shule,miaka thelathini jela.
Inakuwa vigumu kumpa mtu training ambayo inamwezesha kujikinga na hizo dangers,kwa hiyo inaonekana ni afadhali adhabu ziwe lenient.
Lakini kama ukitaka seriously kuyatanzua haya matatizo,mashoga lazima wawe castrated,,( chemically castrated). In fact,watu wote wanaotenda serious sins wanapaswa kuwa castrated.
Actually Bwana Yesu ndiye anayetaka watu wanaofanya vituko wawe castrated,lakini tukimtaja "Yesu",tuaulizwa,kasema lini,kasema wapi?
Tatizo ni desire,ni mind control,thought control,ili watu waweze kushinda vishawishi,kuishinda ennui.
Na hao watu wa Vatican,they are Past Masters in making ambiguous statements. Ukianza kuuliza Askofu huyu kasema nini na Askofu yule kajibu nini,au Baraza la Maaskofu Malawi au Kenya wamesema nini,utajitaabisha bure. We ukisikia watu wameshikana mashati,that is when you should pay attention.