mambo mengine ni ya kiroho zaidi. Fuatilia0621433733 ni
nahisi kulia haki ya MUNGU,
mimi vina miaka miwili ila nishaiva,,
huwa natumia muterib jelly kuvipoza makali tu,
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji1751]!!!!!mambo mengine ni ya kiroho zaidi. Fuatilia
Nimekuwa na tatizo hili kwa muda wa miaka 8, kila mwenye tatizo hili ninaekutana nae pia hunambia amejaribu dawa kadha wa kadha bila mafanikio.
MSAADA !!!!KWA MJUVI WA TIBA YAKE AIDHA YA KUTIBU KABISA AO KU- CONTROL UWEPO WAKE.View attachment 1988111
Iligharimu US Dollar ngapi ??Kama una connection na mtu anaishi USA Muombe akutafutie after shave razor bump inaitwa TEND SKIN kichupa cha blue, Nilikuwa na shida ya razor bump kila dawa ilishindikana, nikapata mfadhili wa hiyo kitu ikawa tiba. Sasa hivi natumia spirit za kawaida saloon na nipo powa.
Pole afandeNashukuru Steve D na YO Yo kwa kuonyesha concern.Nisiponyoa muda mrefu haviendelei kuota,ila sasa shughuli ninayofanya hainiruhusu kufuga rasta,ningekuwa nina shughuli yangu mwenyewe ningefuga,kwani hili tatizo limekuwa kero sana kwangu.
Nimenunua mashine yangu mwenyewe lakini nadhani tatizo liko pale pale kwenye nyembe.Ila kuna mtu kanishauri nitumie mkasi kunyoa lakini sijapata mtaalamu wa hiyo nyenzo maana vinyozi wengi siku hizi wamesahau kutumia kifaa hicho ambacho tulitumia zamani.
Asanteni sana,bado nasubiri ushauri zaidi.
kama bado vinakusumbua,dawa ipo ni unapona kabsaNaombeni msaada wenu hivi vidude naona vimekuja kwa kasi sana na Mara nyingi vinakua vingi zaidi nikienda kunyoa saloon..na saloon nazoenda ni zile zenye kila aina ya usafi unaohitajika.
Lakini naona hivi karibuni vimeongezeka zaidi Kama vinavyoonekana hapo pichani.
Naombeni msaada wenu hivi vipele vinasababishwa na nn na tiba yake ni nn.
Asanteni sana doctors.
Jitahid upate utomvu wa mibono ndio Bora zaidi paka Kila unaponyoa! Pia utomvu wa papai bichi unapaka Kila unapnyoa,,Nashukuru Steve D na YO Yo kwa kuonyesha concern.Nisiponyoa muda mrefu haviendelei kuota,ila sasa shughuli ninayofanya hainiruhusu kufuga rasta,ningekuwa nina shughuli yangu mwenyewe ningefuga,kwani hili tatizo limekuwa kero sana kwangu.
Nimenunua mashine yangu mwenyewe lakini nadhani tatizo liko pale pale kwenye nyembe.Ila kuna mtu kanishauri nitumie mkasi kunyoa lakini sijapata mtaalamu wa hiyo nyenzo maana vinyozi wengi siku hizi wamesahau kutumia kifaa hicho ambacho tulitumia zamani.
Asanteni sana,bado nasubiri ushauri zaidi.