Tatizo la vyumba vya madarasa limekwisha. Je, kuna walimu wa kutosha kufundisha wanafunzi watakaojaza madarasa hayo?

Tatizo la vyumba vya madarasa limekwisha. Je, kuna walimu wa kutosha kufundisha wanafunzi watakaojaza madarasa hayo?

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Igweeeeee

Awali nianze kwa kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa kuhakikisha changamoto ya madarasa kwa shule zote za sekondari hapa nchi kubaki historia ifikapo tarehe 17 january 2022 siku shule zote zitakapofunguliwa.

Lakini wasi wasi wangu upo upande wa walimu? Je wanatosha kuweza kumudu idadi kubwa ya wanafunzi hao waliochaguliwa maelfu kwa maelfu tofauti na miaka mingine yote nchini?

Ifike muda sasa, kama serikali ilivyoamua kulisimamia swala la upungufu wa madarasa vivyo hivyo ilivalie njuga hili swala la walimu.

Serikali ihakikishe shule zote hizo zinawalimu wa kutosha masomo yote!

Happy New Year 2022
 
Kuna mpuuzi mmoja alijikabidhi majukumu kwa wizi wa kura hakuajiri kabisa miaka mitano madarakani Wala hukutoa nyongeza ya mishahara lkn alipunguza watumishi kwa kisingizio Cha vyeti feki.
 
Embu kwanza kwa title hiyo tu. Sote tuseme. Ahsante MAMA
images.jpg
 
Igweeeeee

Awali nianze kwa kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa kuhakikisha changamoto ya madarasa kwa shule zote za sekondari hapa nchi kubaki historia ifikapo tarehe 17 january 2022 siku shule zote zitakapofunguliwa.

Lakini wasi wasi wangu upo upande wa walimu? Je wanatosha kuweza kumudu idadi kubwa ya wanafunzi hao waliochaguliwa maelfu kwa maelfu tofauti na miaka mingine yote nchini?

Ifike muda sasa, kama serikali ilivyoamua kulisimamia swala la upungufu wa madarasa vivyo hivyo ilivalie njuga hili swala la walimu.

Serikali ihakikishe shule zote hizo zinawalimu wa kutosha masomo yote!

Happy New Year 2022
Vifaa vipo?
 
Halafu utasikia jobless waliozuiliwa ajira awamu ya tano wakakimbilia umachinga bado wanamsifu mwendazake
 
vyoo, madawati, maktaba na maabara vipo?

makazi na posho za walimu je?
 
Ujenzi wa madarasa bila walimu wa kutosha ni sifa za kijinga,,,walimu waajiriwe maana wapo wengi mtaani.
 
Ujenzi umekamilika ila wamesahau miundo mbinu mingine. Mfano vyoo, ofisi za walimu, shule za vijijini ( satellite schools) makazi ya walimu.

Au vyoo tunasubiri kuja jengewa na USAID
 
Igweeeeee

Awali nianze kwa kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa kuhakikisha changamoto ya madarasa kwa shule zote za sekondari hapa nchi kubaki historia ifikapo tarehe 17 january 2022 siku shule zote zitakapofunguliwa.

Lakini wasi wasi wangu upo upande wa walimu? Je wanatosha kuweza kumudu idadi kubwa ya wanafunzi hao waliochaguliwa maelfu kwa maelfu tofauti na miaka mingine yote nchini?

Ifike muda sasa, kama serikali ilivyoamua kulisimamia swala la upungufu wa madarasa vivyo hivyo ilivalie njuga hili swala la walimu.

Serikali ihakikishe shule zote hizo zinawalimu wa kutosha masomo yote!

Happy New Year 2022
Halijakwisha Mimi nimetembelea shule kadhaa za secondary. Bado tatizo ni kubwa
 
Walimu wapo wakutosha..hasa masomo ya sana..wanaohotajika ni walimu wa masomo ya sayansi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ujenzi umekamilika ila wamesahau miundo mbinu mingine. Mfano vyoo, ofisi za walimu, shule za vijijini ( satellite schools) makazi ya walimu.

Au vyoo tunasubiri kuja jengewa na USAID
Huwezi kufanya vyote kwa pamoja mbona mnakua na gubu sana wangeanza kuwaajiri walimu mngesema watafundisha watoto chini ya miti
 
Igweeeeee

Awali nianze kwa kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu kwa kuhakikisha changamoto ya madarasa kwa shule zote za sekondari hapa nchi kubaki historia ifikapo tarehe 17 january 2022 siku shule zote zitakapofunguliwa.

Lakini wasi wasi wangu upo upande wa walimu? Je wanatosha kuweza kumudu idadi kubwa ya wanafunzi hao waliochaguliwa maelfu kwa maelfu tofauti na miaka mingine yote nchini?

Ifike muda sasa, kama serikali ilivyoamua kulisimamia swala la upungufu wa madarasa vivyo hivyo ilivalie njuga hili swala la walimu.

Serikali ihakikishe shule zote hizo zinawalimu wa kutosha masomo yote!

Happy New Year 2022
Huwezi kughairi kununua viatu kwa sababu ya kutokuwa na soksi
 
Back
Top Bottom