Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Kuna Dr. Kapona yuko Chanika Buyuni amesaidia akina mama wengi amabao hawashiki ujauzito. Unaweza kujaribu. Wengine walikuwa na kitu kinaitwa hormonal imbalances. Ila siyo lazima naye awe na tatizo hilo. Jitahidi kumtafuta naye isikie yake.
Anasifika sana huyu
 

Hahahaha eti unajirani yako wakati ni wewe mwenyewe...Pole ugumba unatibika lakini
 
Ni kweli mkuu hii nimeishuhudia kwa jirani yetu miaka hiyo, wao waliishi miaka mi5 holaa na kule kijijini hawakwenda kupima, baada ya masimango mengi yule broo akazaa nje yule mwanamke kuona hivyo akasepa zake huko arusha, hadi leo wote wana watoto watano kila mmoja kwenye familia zao mpya.

Ila kitaalam naskia kuna aina ya wanawake wana seli zinazoua nguvu mbegu za kiume kutokana na aina ya group ya damu ya huyo mwanaume, hilo nililisikia kwa Dr mmoja hivi rafiki yangu
 
Kama ni tatizola homoni,tiba yake ni rahisi,kuna aina ya sindano mwanamke huwa anachomwa,inamaliza tatizo na hatimae mwanamke anabeba mimba nakujifungua!
 
Nitafute mimi nipate kumtibi aili aweze kushika mimba.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Acheni kutafuta mtoto tulieni tu, ishini maisha yenu! Atakuja tu kama ajali kazini. Usipanie mtoto sana.
 
Mwambie amcheck mama Sada wa buguruni ana dawa za kihaya anasaidia wengi au Dr kapona yupo dar ...pole sana

Mkuu huyu anasaidia na gharama zake sio kubwa sanaa??
 
Kuna Dr. Kapona yuko Chanika Buyuni amesaidia akina mama wengi amabao hawashiki ujauzito. Unaweza kujaribu. Wengine walikuwa na kitu kinaitwa hormonal imbalances. Ila siyo lazima naye awe na tatizo hilo. Jitahidi kumtafuta naye isikie yake.

Naona huyu doctor watu wanamtaja sanaaa tena sanaaa atakuwa mzuri sanaa na gharama zake zipoje hasaa??
 
Kuna Dr. Kapona yuko Chanika Buyuni amesaidia akina mama wengi amabao hawashiki ujauzito. Unaweza kujaribu. Wengine walikuwa na kitu kinaitwa hormonal imbalances. Ila siyo lazima naye awe na tatizo hilo. Jitahidi kumtafuta naye isikie yake.
Nilisha sikia kuhusu huyu dokta yuko vzr Sana.
 
Huyu doctor nasikia mzuri sanaa na anawasaidia watu wengi sanaa...na gharama zake zipoje hasaa??
Gharama zake zipo juu kidogo kumuona 30,000 bado vipimo inategemea na tatizo lako so ujipange maaana hatumii bima ya aina yoyote ni cash only
 
Gharama zake zipo juu kidogo kumuona 30,000 bado vipimo inategemea na tatizo lako so ujipange maaana hatumii bima ya aina yoyote ni cash only

Sawa sawa nashukuru sana tena sanaa na wala hamna tatizo kabisaa basi nitaona itakavyokuwaa na amefanya vizuri sana kufungua hospital yake mwenyewe.
 
yeye kapima hana tatizo na wewe kapime ndo uhakiki huna tatizo
 
Dr kabanda sisa health centre mwananyamala magengeni, akishindwa huyu basi aende kwa mitishamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…