Anasifika sana huyuKuna Dr. Kapona yuko Chanika Buyuni amesaidia akina mama wengi amabao hawashiki ujauzito. Unaweza kujaribu. Wengine walikuwa na kitu kinaitwa hormonal imbalances. Ila siyo lazima naye awe na tatizo hilo. Jitahidi kumtafuta naye isikie yake.