Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Yapata takribani miezi mitatu tangu nifunge ndoa.mimi na mme wangu tumejitahid sana kutafuta mtoto tangu siku ile ya ndoa hadi leo bila mafanikio.inawezekana mtu kuwa criaz kutafuta ujauzito miezi mitatu mfululizo bila mafanikio?? Je yaweza kuwa kuna tatizo lingine?? Hadi leo hii hatujachukulia kama tatizo,kwa upande wa mwenzangu cjui anafikiria nini ila kwa mimi nina hofu mno sababu kila nikipima upt napata negative,cna amani ata kidogo. Naomben ushauri wenu jamani, hii ni kawaida? Nifanyeje??
Hapo kwenye bold. Hata mimi yapata miezi mitatu tangu nifunge ndoa na mke wangu tena ya kikristu na tulikuwa hatujawahi kuvuliana nguo mpaka siku ile ya ndoa. Hata mimi ilinitokea mwezi wa kwanza ukapita bila majibu, haadaye mwezi wa pili ukapita bila majibu na kwa mbali nikaanza kuwa na wasiwasi lakini baadaye baada ya kutembeatembea huku na kule kama vile JF na blog mbalimbali za afya nikagundua kitu na baadaye nikafuata ushauri unaotolewa na hatimaye mwezi wa tatu (namaanisha huu mwezi March) nikapata jibu na mke wiki mbili za mwanzo akaanza kuonyesha dalili za ujauzito. Nashukuru kwa elimu tunayoipata kupitia mitandao mbalimbali hasa JamiiForums kwa kweli inasaidia.

Shemeji yangu Sikwepeshi, usiwe na wasiwasi bado mapema ila kuna maswali ningemuuliza huyo mdogo wangu (bila shaka) ili kuweza kufanikisha suala lenu nadhani linafanana na la kwangu. Labda baadhi yake unaweza kuyajibu.

Je, mnapata mshahara (yaani ku-du) kila siku mfululizo mpaka siku yako ya Ovulation?
Je, mnapata mshahara siku inayofaa yaani siku ya Ovulation au walau siku moja kabla au hata mbili kabla na pia unaifahamu vyema siku ya Ovulation?
 
Miezi mitatu ni muda mfupi sana, watu wamekaa miaka mitatu wanasaka mimba hadi wakafanikiwa.
Kama walivyosema waliotangulia nenda hospitali utapata ushauri zaidi.
 
Wala usiwe na wasiwasi kuna dada alikuja kanisani kumshukuru Mungu kwa kumjalia mtoto wa tatu alifunga ndoa 1996- 2007 akajaliwa mtoto wa kwanza.
 
Hapo kwenye bold. Hata mimi yapata miezi mitatu tangu nifunge ndoa na mke wangu tena ya kikristu na tulikuwa hatujawahi kuvuliana nguo mpaka siku ile ya ndoa. Hata mimi ilinitokea mwezi wa kwanza ukapita bila majibu, haadaye mwezi wa pili ukapita bila majibu na kwa mbali nikaanza kuwa na wasiwasi lakini baadaye baada ya kutembeatembea huku na kule kama vile JF na blog mbalimbali za afya nikagundua kitu na baadaye nikafuata ushauri unaotolewa na hatimaye mwezi wa tatu (namaanisha huu mwezi March) nikapata jibu na mke wiki mbili za mwanzo akaanza kuonyesha dalili za ujauzito. Nashukuru kwa elimu tunayoipata kupitia mitandao mbalimbali hasa JamiiForums kwa kweli inasaidia.

Shemeji yangu Sikwepeshi, usiwe na wasiwasi bado mapema ila kuna maswali ningemuuliza huyo mdogo wangu (bila shaka) ili kuweza kufanikisha suala lenu nadhani linafanana na la kwangu. Labda baadhi yake unaweza kuyajibu.

Je mnapata mshahara (yaani ku-du) kila siku mfululizo mpaka siku yako ya Ovulation?
Je mnapata mshahara siku inayofaa yaani siku ya Ovulation au walau siku moja kabla au hata mbili kabla na pia unaifahamu vyema siku ya Ovulation?

Mmh asante kwa kunitia moyo,ni kweli mshahara sio kila siku,ni kati ya cku tatu au nne za wiki, nafuata ushauri wako.

Asante.
 
Hapo kwenye bold. Hata mimi yapata miezi mitatu tangu nifunge ndoa na mke wangu tena ya kikristu na tulikuwa hatujawahi kuvuliana nguo mpaka siku ile ya ndoa. Hata mimi ilinitokea mwezi wa kwanza ukapita bila majibu, haadaye mwezi wa pili ukapita bila majibu na kwa mbali nikaanza kuwa na wasiwasi lakini baadaye baada ya kutembeatembea huku na kule kama vile JF na blog mbalimbali za afya nikagundua kitu na baadaye nikafuata ushauri unaotolewa na hatimaye mwezi wa tatu (namaanisha huu mwezi March) nikapata jibu na mke wiki mbili za mwanzo akaanza kuonyesha dalili za ujauzito. Nashukuru kwa elimu tunayoipata kupitia mitandao mbalimbali hasa JamiiForums kwa kweli inasaidia.

Shemeji yangu Sikwepeshi, usiwe na wasiwasi bado mapema ila kuna maswali ningemuuliza huyo mdogo wangu (bila shaka) ili kuweza kufanikisha suala lenu nadhani linafanana na la kwangu. Labda baadhi yake unaweza kuyajibu.

Je mnapata mshahara (yaani ku-du) kila siku mfululizo mpaka siku yako ya Ovulation?
Je mnapata mshahara siku inayofaa yaani siku ya Ovulation au walau siku moja kabla au hata mbili kabla na pia unaifahamu vyema siku ya Ovulation?

Mmh asante kwa kunitia moyo,ni kweli mshahara sio kila siku, ni kati ya cku tatu au nne za wiki, nafuata ushauri wako.

Asante.
 
Yapata takribani miezi mitatu tangu nifunge ndoa.mimi na mme wangu tumejitahid sana kutafuta mtoto tangu siku ile ya ndoa hadi leo bila mafanikio.inawezekana mtu kuwa criaz kutafuta ujauzito miezi mitatu mfululizo bila mafanikio? Je, yaweza kuwa kuna tatizo lingine?? Hadi leo hii hatujachukulia kama tatizo,kwa upande wa mwenzangu cjui anafikiria nini ila kwa mimi nina hofu mno sababu kila nikipima upt napata negative,cna amani ata kidogo...naomben ushauri wenu jamani,hii ni kawaida? Nifanyeje?

Hakuna sababu ya kuwa na hofu kwa muda huu wa miezi 3 kwa sababu tafiti zinaonesha kuwa kwa watu wasio na matatizo ya uzazi , na ambao wanafanya tendo la ndoa bila ya kinga kawaida ushikaji mimba ni kama ifuatavyo;

50% hupata mimba ndani ya miezi mitatu ya mwanzo
22% hupata mimba baada ya miezi 6
13% hupata mimba ndani ya miezi 12
15% waweza wapate mimba baada ya mwaka moja hadi miwili.

Ushauri wangu ni kuwa hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kwa wakatu huu unless unataka kujiondoa wasiwasi kwa vipimo, kwa kwasababu hata madaktari hutafsiri mtu mwenye matatizo ya uzazi ni yule aliyekaa na mwenza kwa miaka isiyopungua miwili wakijamiana kwa uchache mara tatu kwa wiki bila ya kinga.
 
We normally give one year of unprotected sex to start doubting, Wasiwasi/stress wakati wa kutafuta ujauzito huchangia kutoshika mimba ni mapema sana kuwa na wasiwasi labda upite mwaka mzima na huo wasiwasi wako/wenu ndo unaweza kuchangia kutoshika mimba ili kuepuka kuwa na wasiwasi jaribuni kula tunda kila baada ya siku mbili au tatu (kama unafikiri huwa unakuwa na wasiwasi mkipanga) na muwe mnafanya asubuhi (That's when the sperm counts is higher).Mshirikishe Mungu pia mtoto ni zawadi toka Mungu kama wewe ni muumini.Wish you all the best
Unaweza kutumia mtandao pia kujua when are your highly fertile days and take advantage of them,kuna mikao pia ya kutumia inayo enhance upatikanaji wa mimba.
Mungu akujalie ombi lako
 
mkifikiria sana esp wewe mwanamke hautapata hiyo mimba

tulia usifikirie issue hii na utanasa kibendi within no time

ukiendelea kuifikiria duh kuna msemo wa kisayansi ni unajiaribia chances zako
 
amina nitasimamia neno ili kila nilalapo na niamkapo hakika nitakija kushuhudia,asante sana mkuu.


Hata mtu ukiwa mkiristo lazima ujisaidie pia. So unaweza soma biblia na bado ukatawaliwa na mawazo ya mimba full time basi mwili utakataa tu.

Ila kwanini umekuwa na mshituko mapema hivi miezi mitatu tu? au umeshatowa mimba before maana ni mapema sana mtu kujizania hawezi pata mimba.

Mie ni Mkiristo na nina testimony maishani mwangu.
 
Kwa wanandoa wapya mkienda hosp dokta atawaambia mkasubirie huwa kitaalamu inategemewa kuanzia miezi sita hadi mwaka utapata mimba. Pia unaweza tumia clomiphene unameza siku ya tano tangu upate hedhi kidonge kwa siku viko vitano husaidia ovulation, mumeo pia aweke barafu kwenye korodani at least kwa dakika kumi kupooza mbegu kutokana na joto na avae boxer badala ya chupi zinazobana kuzipa korodani hewa ya kutosha, ameze vidonge vya vitamin e, c, ale matunda, karanga, maziwa afanye mazoezi. Zingatieni mzunguko yaani mjamiiane kuanzia siku ya 10 katika mzunguko na pia mara moja kwa siku ili kupata mbegu imara,kunywa juice ya ubuyu ya kutosha, mboga za majani na vingine vingi nitafute ofisini kwangu nitakupa msaada zaidi.
 
Sikwepeshi labda unakwepesha tehe tehe tehe.

Back to the point, bado ni mapema mno kuwa na wasiwasi. Lakani kama unauhitaji mkubwa sana wa mtoto jitahidi kuonana na dokta ili akuope ushauri sahihi.
 
Tumieni mkao wa kifo cha mende wakati wa kujamiiana na akishamwaga ukunje makoti kuelekea juu ili kuzuia mbegu zisimwagike kwa nusu saa hv, tembbelea mitandao utapata msaada zaidi.
 
Cha kufanya nenda hospital ukafanye checkup wewe mwenyewe kwanza, kama utakuwa sawa mchukue bwana mkapime nae, pia usisahau kumwomba Mungu kwani ndie muweza ya yote. Je, umesema kuwa ana mtoto wa nje, huyo aliyezaa nae yupo, na kama yupo mlivyofunga harusi alijua au alimwambia? Mimi nahisi kuwa hakufurahishwa na uamuzi aliochukua bwana wako, so jaribu kuchunguza, kwanini hakumwaoa yeye akaja kwako.

Kama watakuwa waliachana kwa hasira basi inawezekana huyo mwanamke amekuchezea mambo ili usipate mimba na pia aweze kumrejesha huyo mwanaume kwake, kafanye haya yote kisha ukirudi kama kutakuwa hakuna mafanikio nitakwambia cha kufanya.

Asante
 
Sikwepeshi, Pole sana kwa hilo tatizo, ila nadhani miezi 3 ni michache ku conclude kwamba kuna tatizo. Kuna hiki kitabu ' DSsDelayed Childbearing , Facts for every couple' nimeshindwa kukiatachi hapa but nimekuwekea introduction yake wakati najaribu ku attach.

This third edition of Delayed Child Bearing is the most educative and reader friendly yet. The addition of detailed diagrams and an in depth analysis of the real issues makes it a dependable resource in the area of reproduction and infertility.

Delayed Child Bearing is a medium to learn more about infertility, how the reproductive system works, the basics of trying to conceive, and other essential information one needs. It also includes information on infertility myths, fertility and sex and the effects of age on infertility.

Most experts define infertility as not being able to get pregnant after at least one year of trying. Infertility can cause a great deal of stress and anxiety, both individually and as a couple. Having the support needed and good coping skills can help a couple get through this difficult challenge.

Efforts to understand the causes of infertility, treatment options, and the eventual resolution of their infertility is all that an infertile couple think about. The importance of knowledge and early detection go a long way in proper fertility management and in improving a couples chance of conception.

The overall objectives for managing infertility include making a timely, accurate, diagnosis and then using the best science available to help them achieve conception. This booklet aims to provide this knowledge.

The miracle of conception is best achieved in the privacy and comfort of ones bedroom, but where this is not possible other options of achieving Gods miracle must be explored.

Richardson A. Ajayi FRCOG
MD The Bridge Clinic


Yapata takribani miezi mitatu tangu nifunge ndoa.mimi na mme wangu tumejitahid sana kutafuta mtoto tangu siku ile ya ndoa hadi leo bila mafanikio.inawezekana mtu kuwa criaz kutafuta ujauzito miezi mitatu mfululizo bila mafanikio?? Je yaweza kuwa kuna tatizo lingine? Hadi leo hii hatujachukulia kama tatizo,kwa upande wa mwenzangu cjui anafikiria nini ila kwa mimi nina hofu mno sababu kila nikipima upt napata negative,cna amani ata kidogo...naomben ushauri wenu jamani,hii ni kawaida? Nifanyeje?
?
 
Thnx a lot guyz, nashindwa jinsi gani niexpress asante yangu kwenu. Kiukweli mda wote nawaza huenda ikawa imechangia pia naahidi kufuata ushauri wenu wote mlionipatia. God bless u all guyz, sipend kuwaza ila ile desire ya kuwa na mtoto ndo inanitesa.
 
Back
Top Bottom