Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Duuu hahhahaha Castle Lite, savanna, Malibu, hivi Tikila nayo ni pombe?
 
Kaunga mpenzi, uko wapi? Nakuhitaji uje kwenye hi siredi, nikiuambiaga unadai ooh sijui nimeokoka, sasa unachelewesha mtoto bana!
 
Kwani kutuliza mawazo mpaka unywe pombe? Mtambuzi rudi tena kakusanye data' utafiti bado mbichi
 
Nilijua tu mtakuwa wabishi, hebu jaribu kama kupata mimba kwako kuna chechemea

Mie nilikuwa na refer maruwe ruwe niliyoyaona kny post yako, hio picha ilikuwa haionekani badala yake yalikuwa mavitu kama spam, naona mods wameyaondoa, baby:
 
Mie nilikuwa na refer maruwe ruwe niliyoyaona kny post yako,hio picha ilikuwa haionekani badala yake yalikuwa mavitu kama spam,naona mods wameyaondoa, baby:
Mie niliyaona nikayaondoa, kumbe yalirudi tena!
 
Mwanamke akinywa pombe anakuwa mzuri sana ktk game, ila apo kwenye mimba ndo sielewi inakuwaje. Can someone fafanua for me?
 
Kaunga mpenzi,uko wapi?Nakuhitaji uje kwenye hi siredi,nikiuambiaga unadai ooh sijui nimeokoka,sasa unachelewesha mtoto bana!

Anachotaka kusema Mtambuzi ni kwamba wanawake wanaokunywa pombe wana nge kuliko wasiokunywa; sasa ngoja nije Rick C ili tulinganishe amount ya nge while l was drinking n now that nimeokoka. LOL
 
Anachotaka kusema Mtambuzi ni kwamba wanawake wanaokunywa pombe wana nge kuliko wasiokunywa; sasa ngoja nije Rick C ili tulinganishe amount ya nge while l was drinking n now that nimeokoka. LOL

Am waiting for you
 
Anachotaka kusema Mtambuzi ni kwamba wanawake wanaokunywa pombe wana nge kuliko wasiokunywa; sasa ngoja nije Rick C ili tulinganishe amount ya nge while l was drinking n now that nimeokoka. LOL
Nilikuwa namaanisha kwamba, kwa wale wanawake ambao upataji wao wa mimba ni wa kuchechemea kwa sababu ya msongo wa mawazo, wakitumia pombe kidogo inawasaidia kupata utulivu na kuwaongezea kiwango cha ashki, na kama yuko kwenye siku za hatari, basi nirahisi kupata mimba.

Tafiti nyingi zinaonyesha kwamba hata kama mwanamke yuko kwenye siku zake za hatari si rahisi kupata mimba akishiriki tendo la kujamiiana iwapo atakuwa na msongo wa mawazo.

Kudevela kidogo na vijichupa viwili cha bia au glasi ya mvinyo (wine) itasababisha mwanamke kupata utulivu wa mawazo na kama akiwa kwenye siku zake za hatari kisha ashiriki tendo la kujamiiana. Mimba hiyooo yaja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…