Nilijua tu mtakuwa wabishi, hebu jaribu kama kupata mimba kwako kuna chechemea.nilijua wameihack account yako...🤓
sasa ndio umejua eh!Lol!!!! Duniani kuna mengi
Nilijua tu mtakuwa wabishi, hebu jaribu kama kupata mimba kwako kuna chechemea
Afadhali wewe umekubali japo kidogo, lakini ukweli ndio huo, tatizo watu wanataka kubisha bila kufanya experimentningekuwa born again, ningesema 'pepo'
Mie niliyaona nikayaondoa, kumbe yalirudi tena!Mie nilikuwa na refer maruwe ruwe niliyoyaona kny post yako,hio picha ilikuwa haionekani badala yake yalikuwa mavitu kama spam,naona mods wameyaondoa, baby:
Castle light au Redds ndio mwake, lakini wine, nayo inaletaga mshawasha kwa wanawake.Hasahasa ukinywa serengeti ndo inakamata fasta.
Kaunga mpenzi,uko wapi?Nakuhitaji uje kwenye hi siredi,nikiuambiaga unadai ooh sijui nimeokoka,sasa unachelewesha mtoto bana!
ningekuwa born again, ningesema 'pepo'
Anachotaka kusema Mtambuzi ni kwamba wanawake wanaokunywa pombe wana nge kuliko wasiokunywa; sasa ngoja nije Rick C ili tulinganishe amount ya nge while l was drinking n now that nimeokoka. LOL
Nilikuwa namaanisha kwamba, kwa wale wanawake ambao upataji wao wa mimba ni wa kuchechemea kwa sababu ya msongo wa mawazo, wakitumia pombe kidogo inawasaidia kupata utulivu na kuwaongezea kiwango cha ashki, na kama yuko kwenye siku za hatari, basi nirahisi kupata mimba.Anachotaka kusema Mtambuzi ni kwamba wanawake wanaokunywa pombe wana nge kuliko wasiokunywa; sasa ngoja nije Rick C ili tulinganishe amount ya nge while l was drinking n now that nimeokoka. LOL