Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Nendeni hospitali yawezekana mke ana shida au ww unatoa mbegu zisizo n
mikia au hazina vichwa
 
Huyo dada mwenyew ndo hataki kubeba mimba. Unadhani ni raha kuitwa single mother? Jinsi mnavyo wakashifu humu JF kwan yeye haoni? We funga nae ndoa uone kama hatoshika mimba.
 
Pole sana mkuu itakuwa una unatupa risasi ambazo brancoo
 
mMakula nn? Kuna docta wa tiba mbadala alisema anapokea zaid ya asilimia 60 yawanawake hawashiki mimba bcause hawapati choo coz ya michips kila siku na tiba ambyo ana wapa ni dawa ya kuondoa sumu ya mavi mengi tumboni yanayobana kizazi, sasa isigekua mkeo kabeba mavi tumboni jaribu dawa za kusafisha tumbo aharisheeeee thn ulete mrejesho.baada ya ww mwenywe kula karanga mbichi km week 2 hv na asali vijko2 kila siku ili kujaza shahawa.na usifanye ngono hizo week 2.
 
Kila siku unamfanya, huachi mbegu zikakua, zikashiba
wewe daily, mchicha ukichipua umeung'oa.

Kaka hebu kaa nae wee2 hujagusa mpaka siku zake za hatari, ukigusa kitu ndani ya box..
alafu punguza kumgeuza geuza kama chapati
Oohoki mkewe atakuja lalamika humu,mumewe kila siku kifo cha mende, mchicha achumi.
 
natibu madhara ya kujichua kwa matunda tu



MADHARA YA PUNYETO.

1.UUME KUSINYAA UKIWA NDANI YA UKE.

2.UUME KUSINYAA UKIWA KWENYE MLANGO WA UKE .

3.UUME KUKOSA NGUVU NA KULEGEA SANA.

4.KUWAI KUMALIZA TENDO LA NDOA.

5.UGUMBA .

6.KUSHINDWA KUSIMAMISHA

7.KUKOSA HAMU YA MWANAMKE

8.MSONGO WA MAWAZO.

9.KUSHINDWA KUMLIDHISHA MPENZI WAKO.



HATUA YA KWANZA.
Anza kwa kusoma madhara ya punyeto kila siku na kuyatafakar kwa maisha yako ya baadae je utapenda mke wako akukimbie sababu humlizishi au marafiki zako wakuchukulie mke wako .

HATUA YA PILI.

Punguza dozi ya kujichua kwa siku week au mwezi

Anza kwa kupiga punyeto kama kawaida kwa mfano kama unapiga mara tatu kwa siku uwe unapiga mara tatu kwa siku mbili za mwanzo kisha mara mbili kwa siku kisha mara moja kwa siku kisha mara moja kwa siku mbili kisha moja kwa siku tatu moja kwa siku nne moja kwa siku tano mpaka week kisha siku kumi kwa mara moja kisha week mbili kwa mara huku ukijikumbusha madhara kila siku na kufikiri jins utakavyoangaika kwa waganga kutafuta dawa kwa ajii ya kutafuta mtoto
Au masimango ya ndugu kwa nini hamzai na tatizo ni lako

Msongo wa mawazo kwa kukosa mtoto au huzun ukiona ndungu wakija kukutembelea na watoto.

PUNYETO SI SALAMA MADHARA YAKE NI YA BAADAE MAJUTO NI MJUKUU FURAHA YAKO YA BAADAE IPO MIKONONI MWAKO

MWISHO USIPENDE KUKAA PEKEE YAKO AU KULALA PEKEE YAKO MAZINGIRA YA UPWEKE YATAKUFANYA UPIGE PUNYETO PENDA KUJICHANGANYA NA WENZAKO MDA MWINGI KUONDOA MAWAZO YA KUJICHUA.

IMEANDALIWA NA
APPOH HERBAL CLINIC
CHANIKA DSM
S.L.P 18700
0712505049
EMAIL APPOLINARYWILLIAM@GMAIL.COM
 
Pole sana. Hii huwa inatokeaga mpaka miaka 10 bila ujauzito. Na unaweza pata mapacha watatu kufidia muda uliopita bila mategemeo. Kinachotakiwa ni uvumilivu pamoja na maombi (kufunga).

Toa mawazo machafu ya kuchepuka, hilo nijaribu katika Mapito ya ndoa yenu. Kipindi hicho kigumu pata ushauri wa daktari, Rafiki yenu Mkuu Awe biblia/ msaafu.
.
Da ama kwa hakika Mungu ndio msemaji wa mwisho maana nina ushihuda huo pia.Na nimempata mtoto kwa kufunga sana na kuomba yani hiyo imekua my life na sikuwa tena nawaza chochote bali nilikua naamini tu basi huez amin ikaja bila kujua hata kupanga.Da kweli huyu Mungu mwacheni.Maana hata hospitali sikuwahi kuwaza kwenda .
 
Duuh hongera kwa uandishi wako, u r 1 in a million, ingekuwa mwingine angeshamtupia lawama mwanamke.
Cha muhimu ni kwenda hospitali na mkapimwa wewe na mwenzako.
 
Kila siku unamfanya huachi mbegu zikakua, zikashiba wewe daily, mchicha ukichipua umeung'oa.

Kaka hebu kaa nae wee2 hujagusa mpaka siku zake za hatari, ukigusa kitu ndani ya box alafu punguza kumgeuza geuza kama chapati
Hii ni comment bora kabisa katika sekta ya mapenzi kipengele ya afya ya ngono...
 
Mke wangu hashiki ujauzito, nimempeleka hospital mbalimbali lakini wanampima na kumwambia yuko safi na kumpa dawa pia, ila anamtoto mmoja aliwahi kuzaa na baadaye kutumia kipandikizi, lakini ana miaka nane tangu akitoe ila hajawahi kupata ujauzito, ila mimi niko safi sina matatizo
 
Hayo mambo ukiyapeleka kwenye mitishamba utakuja kuliwa sana pesa maana wengi huwa wanabahatisha dawa ikikubali anajisifia.

Nikupe mfano mmoja kuna shemeji yangu kaka wa mke wangu yeye pia na mke wake walipata huo mtihani kila wakienda hospitali wanaambiwa hawana tatizo.

Mwanamke akaona bora aende kwenye mitishamba huko nako aliishia kuliwa pesa na kupewa ramli chonganishi kuwa mama wa mume wake ndio anayemroga .

Mwisho wa siku ukatokea mgogoro wakaachana, Kwa sababu ni ndoa za kiislamu kila mtu akaenda kuanzisha maisha na mwenza mwingine na hivi ninavyoandika hapa shemeji yangu ana mtoto wa kike mwenye miezi tisa na yule mtaraka wake pia ana mimba wa kujifungua muda wowote .

So sijui hapo solution ilikuwa ni nini lakini baada ya ndoa zao za pili hakuna aliyeenda hospital wala kwa mganga wa kienyeji ila mambo yamejipa yenyewe.
 
Hayo mambo ukiyapeleka kwenye mitishamba utakuja kuliwa sana pesa maana wengi huwa wanabahatisha dawa ikikubali anajisifia.

Nikupe mfano mmoja kuna shemeji yangu kaka wa mke wangu yeye pia na mke wake walipata huo mtihani kila wakienda hospitali wanaambiwa hawana tatizo.

Mwanamke akaona bora aende kwenye mitishamba huko nako aliishia kuliwa pesa na kupewa ramli chonganishi kuwa mama wa mume wake ndio anayemroga .

Mwisho wa siku ukatokea mgogoro wakaachana, Kwa sababu ni ndoa za kiislamu kila mtu akaenda kuanzisha maisha na mwenza mwingine na hivi ninavyoandika hapa shemeji yangu ana mtoto wa kike mwenye miezi tisa na yule mtaraka wake pia ana mimba wa kujifungua muda wowote .

So sijui hapo solution ilikuwa ni nini lakini baada ya ndoa zao za pili hakuna aliyeenda hospital wala kwa mganga wa kienyeji ila mambo yamejipa yenyewe.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom