Tatizo la Yanga ni vibeki vimbilikimo, alafu wakaweka lingongoti la kuzugia

PSEUDOPODIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
392
Reaction score
798
Yaaani pale nyuma vimejaa vimbilikimo alafu vinaongozwa na li ngongoti hata kuruka haliwezi, kwanini msile kichapo tu!
 
Nilikuambia nipe nafasi nisherehekee hii Diwali kwanza then tutakaa kujadili hilo swala baadaye
 
Nani kakuambia watajiamini?

Usitengeneze matumaini hewa kwa kumtabiria mpinzani acheze chini ya kiwango
 
Mwarabu yupi unamzungumzia , au unamansha mwalabu wa KAYENZE
 
Unasheherekeaje ilihali bado second final haijachezwa?

Kwanini huwa hamna akiba za maneno kabisa ninyi Makolokolo?

Au mpira mmeuasisi ninyi hata msiuheshimu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
We ungeshinda leo, ungesubiri second leg ndio ufurahi?

Wakati kila mtu leo alisema ushindi wowote una thamani?

Hii kwangu ina maana kubwa sana, kwanza inanitosha.
 
We ungeshinda leo, ungesubiri second leg ndio ufurahi?

Wakati kila mtu leo alisema ushindi wowote una thamani?

Hii kwangu ina maana kubwa sana, kwanza inanitosha.
Nifatilie mimi huwa siingii mpirani kimahaba, lazima niwe na akili kubalansi maneno.
Kwanini nisisubirie ilihali wapo walioweka fainali za hone na away 2?


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapa umeondoka eneo la ubora umeamia kwenye bahati (abracadabra)

Sasa kwanini mnatupigia kelele kuwa mna timu nzuri wakati matokeo mnayapata kwa bahati na sibj?
 
Sasa hapa umeondoka eneo la ubora umeamia kwenye bahati (abracadabra)

Sasa kwanini mnatupigia kelele kuwa mna timu nzuri wakati matokeo mnayapata kwa bahati na sibj?
Ambatanisha hapa kumbukumbu zangu lini nilikushambulia kuwa tuna timu bora kuliko Simba.

Hata hivyo, lini Shabiki aliwahi kukiri timu yake ina madhaifu baada ya kushinda?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…