habari nduguz,
nna tatizo moja ambalo huwa haliishi kwa mda mrefu sasa
mara nyingi ulimi wangu unakua kama unakatika yaani kuonyesha alama kama za mikatiko
naomba kujua ni ugonjwa wa aina gani? na naweza vip kuondokana nao na kama ni upungufu wa madini
fulan nijuzwe ili jambo hili lisiendelee najisikia vibaya sana kwan wakati mwingine unauma kidogo.
nna tatizo moja ambalo huwa haliishi kwa mda mrefu sasa
mara nyingi ulimi wangu unakua kama unakatika yaani kuonyesha alama kama za mikatiko
naomba kujua ni ugonjwa wa aina gani? na naweza vip kuondokana nao na kama ni upungufu wa madini
fulan nijuzwe ili jambo hili lisiendelee najisikia vibaya sana kwan wakati mwingine unauma kidogo.