tatizo langu nini jamani

tatizo langu nini jamani

dogo tulia uwavutie ili iweje au unataka ukimwi wa fasta fasta ,unaweza ukawa uwavutii wasichana ila unazivutia sabuni....so kama vipi piga punyeto...maisha yaendeleee...kizazi cha bongofleva bana kila ukicha mapenzi....kweli tunataifa hapa ..mhhhhh...ngoja nikale daku
 
kwanini umepiga shule chini? mdogo wangu sasa unafanya nini kwa sasa?? usihofu hauna kasoro mwaya kuna msema unasemaga kwa kingerenza MAN UP and be bold/kuwa jasiri,, kama umevutiwa na mdada anza kumsalimia hata akikuchunia usikate tamaa we msalimie tena na tena,, then anzisha na nyumbani wazima?? wasalimie ukifika etc anzisha urafiki nae bila kuonesha malengo ya kumtamani kimwili ukiona anaelekea basi ndo umchomekee itakua rahisi that way sawa eehh mdogo wangu,,, ila nakusihi kama unaweza endeleza shule ni muhimu kwa zama hizi tunazoishi sasa..... Good luck
 
kaogeee maji ya bahar mdogo wangu, jipange vizur na pangilia swaga zako fresh utawavutia tu Meritta........ni kweli au unamkejeli tu?
 
kwanini umepiga shule chini? mdogo wangu sasa unafanya nini kwa sasa?? usihofu hauna kasoro mwaya kuna msema unasemaga kwa kingerenza MAN UP and be bold/kuwa jasiri,, kama umevutiwa na mdada anza kumsalimia hata akikuchunia usikate tamaa we msalimie tena na tena,, then anzisha na nyumbani wazima?? wasalimie ukifika etc anzisha urafiki nae bila kuonesha malengo ya kumtamani kimwili ukiona anaelekea basi ndo umchomekee itakua rahisi that way sawa eehh mdogo wangu,,, ila nakusihi kama unaweza endeleza shule ni muhimu kwa zama hizi tunazoishi sasa..... Good luck

Nayeye anafight amfikishe mtu kileleni kama unavyofika wewe!
 
kwani ukiachana na totoz life litagoma, mtaan kwe2 kuna mchizi anarisepushen ya utata meno yake hayana likizo, but anamichuz yake fresh. acha totozi mbich zinajipanga nikinoma piga shule, pata kazi, pata pesa, mbona utaomba pooo!
 
Soma na ukue dogo acha kuharakia maisha! That is Climbing upstairs for downstairs business..!
 
some upate pesa, wale wasio kusalimia utasikia wanaanza huyu kaka anaringa;hakuna dume baya ni mkwaju tuu
 
Back
Top Bottom