Tatizo laweza kuwa lipi kwa hii RAV4 kili time?

Tatizo laweza kuwa lipi kwa hii RAV4 kili time?

Mayo clinic

Member
Joined
Sep 1, 2022
Posts
23
Reaction score
22
Nisaidieni wadau

Rav4 hii iliendeshwa na learner ikaingia mahali ikaatamia kifua (sijui wenyewe wanaita hivyo). Dereva akawa analazimisha kuitoa kwa kukandamiza sana mafuta ikashindikana.

Ilipovutwa pale, ikawa sasa haina uwezo tena wa kupanda milima. Mafundi wetu hawa wakasema ni control box imeungua, tukaweka nyingine lakini bado tu. Mafundi wa Mbeya wamekwama.

Nisaidieni, yaweza kuwa tatizo nini hapo? Engine yake ni 1az.
 
Nisaidieni wadau.rav4 hii,iliendeshwa na learner ikaingia mahali ikaatamia kifua sijui wenyewe wanaita hivyo.dereva akawa analazimisha kuitoa kwa kukandamiza Sana mafuta ikashindikana.Ilipovutwa pale,ikawa sasa haina uwezo tena wa kupanda milima.mafundi wetu hawa wakasema ni control box imeungua,tukaweka nyingine lakini bado tu.Mafundi wa Mbeya wamekwama.Nisaidieni,yaweza kuwa tatizo nini hapo? engine yake ni 1az.

Tatizo la hiyo gari ni uwezo wako wa kutafuta mafundi sahihi!

Magari are so expensive to just give people na yakuaribika to pick wrong mafundi.

Yani ni kituko hata kusema kwamba umebadili control box for that?

Unaishi wapi? Make good research wa mafundi wenye majina na kupata ushuhuda wao!

Sio kila mwenye greese, mchafu, overall na kile ki star chenye wire anayemenya wires kuangalia Umeme ni mafundi.
 
Nisaidieni wadau.rav4 hii,iliendeshwa na learner ikaingia mahali ikaatamia kifua sijui wenyewe wanaita hivyo.dereva akawa analazimisha kuitoa kwa kukandamiza Sana mafuta ikashindikana.Ilipovutwa pale,ikawa sasa haina uwezo tena wa kupanda milima.mafundi wetu hawa wakasema ni control box imeungua,tukaweka nyingine lakini bado tu.Mafundi wa Mbeya wamekwama.Nisaidieni,yaweza kuwa tatizo nini hapo? engine yake ni 1az.
Kanunue Gearbox mshakaanga vitu.
 
Nisaidieni wadau.rav4 hii,iliendeshwa na learner ikaingia mahali ikaatamia kifua sijui wenyewe wanaita hivyo.dereva akawa analazimisha kuitoa kwa kukandamiza Sana mafuta ikashindikana.Ilipovutwa pale,ikawa sasa haina uwezo tena wa kupanda milima.mafundi wetu hawa wakasema ni control box imeungua,tukaweka nyingine lakini bado tu.Mafundi wa Mbeya wamekwama.Nisaidieni,yaweza kuwa tatizo nini hapo? engine yake ni 1az.
Kwa maelezo haya, nahisi gari za imeiunguza clutches ndani ya gearbox..(clutches ndo hufanya engine power iwe transmitted to wheels) sasa unapokuta mtu amekwama mahali akaanza kanyagia gari mafuta mengi na kufanya tairi zi-slip, basi ukiendelea kukanyaga basi clutches uungua kutokana na friction kua kubwa, hatimae zikiungua kabisa basi power transmission hupungua kabisa..

(Note; je hii hali ya kukosa nguvu je ipo upande wa kwenda mbele tu au hata kwa upande wa reverse?)

So nini chakufanya? Hapo

1. Jaribu kubadili transmission fluid weka nYingine uone kama itakaa sawa.weka hydraulic original (ATF type 4)

2. Option hiyo namba 1 isipo fanya kazi basi utalazimika kushusha gear box ili ubadili clutch za gear box.(but hii ya ku-change clutches huwa haidumu sana, kwahiyo utalazimika kununua gear mpya mkuu)
 
Kwa maelezo haya, nahisi gari za imeiunguza clutches ndani ya gearbox..(clutches ndo hufanya engine power iwe transmitted to wheels) sasa unapokuta mtu amekwama mahali akaanza kanyagia gari mafuta mengi na kufanya tairi zi-slip, basi ukiendelea kukanyaga basi clutches uungua kutokana na friction kua kubwa, hatimae zikiungua kabisa basi power transmission hupungua kabisa..

(Note; je hii hali ya kukosa nguvu je ipo upande wa kwenda mbele tu au hata kwa upande wa reverse?)

So nini chakufanya? Hapo

1. Jaribu kubadili transmission fluid weka nYingine uone kama itakaa sawa.weka hydraulic original (ATF type 4)

2. Option hiyo namba 1 isipo fanya kazi basi utalazimika kushusha gear box ili ubadili clutch za gear box.(but hii ya ku-change clutches huwa haidumu sana, kwahiyo utalazimika kununua gear mpya mkuu)
Asante sana kwa ufafanuzi
 
Sawa mkuu akabadili clutch plate, na rubber za piston zinazopush clutch plate.
Hakuna rubber kwenye piston wala sehemu yeyote karibia na piston. Piston iko ndani ya tanuri la jotoridi la nyuzi 2,500 centigrade. Rubber Zingeyeyuka siku gari inawashwa kutolewa kiwandani.

Na piston hazisukumi clutch plate wala haziko karibu na clutch plate, bali zinasukuma crank shaft na cam shaft.
 
Naendelea kusoma comments kwa moyo wa shukrani kabisa,natamani kupata jibu sahihi litakalo kubaliwa na wengi ili nilifanyie kazi.
 
Hili jukwaa nafikiri linahitaji maelezo ya kitaalamu na michango exhaustive sana. Si vyema kujibu kama uko kwenye mjadala wa simba na yanga!!

Mkuu ulitaka nimjibuje?

We unadhani kwani auto gearbox wanakataza kurev sana hasa gari ikiwa kwenye gear?

Unafikiri kitu gani unaharibu?

Moja ya sababu kuu ambayo inaharibu hizo gearbox za Auto ni Overheating.

Every time gear inapoengage au kutoka kuna amount kubwa sana ya joto inazalishwa.

Sasa the worst snerio ni kama gari iko kwenye gear unarev halafu tairi hazizunguki. Hapa mzee kuna clutch pack kadhaa lazima raba zife sababu ya joto.

Pia lazima clutch plates zisagike na baada ya muda zitakuwa hazina uwezo wa kushika vizuri tena.

I wish ungekuwa unafahamu how thin clutch plates za automatic gearbox huwa zinakuwa.

Labda nikutolee mfano kwenye forward clutch assembly ya automatic gearbox ya Harrier u141e.

Clearance ambayo clutch plates na backing plates kwa ajili ya zinakuwa nayo kwa ajili ya kubana na kuachia ni just between 0.6mm mpaka 1mm


Anything below 0.6mm huna gearbox.

Haya Bongo hii unapata wapi spare parts mpya za Automatic gearbox?

Online huwa zipo overhaul kit za gearbox.

Nimechoka kuandika mambo ni mengi.
 
Hakuna rubber kwenye piston wala sehemu yeyote karibia na piston. Piston iko ndani ya tanuri la jotoridi la nyuzi 2,500 centigrade. Rubber Zingeyeyuka siku gari inawashwa kutolewa kiwandani.

Na piston hazisukumi clutch plate wala haziko karibu na clutch plate, bali zinasukuma crank shaft na cam shaft.
Unataka mjadala uwe mrefu kwenye hili?

Okay kama wewe unajua engine peke yake ndio inakuwa na pistons unakosea sana.

Auto gearbox ina piston tena nyingi kuliko zilizoko kwenye engine.

Mfano gari tajwa hapo juu, gearbox yake ina Accumulator piston 3, forward na reverse clutch assembly kila moja ina piston mojamoja, tayari 5. Hapo sijagusa maeneo mengine
 
Mkuu ulitaka nimjibuje?

We unadhani kwani auto gearbox wanakataza kurev sana hasa gari ikiwa kwenye gear?

Unafikiri kitu gani unaharibu?

Moja ya sababu kuu ambayo inaharibu hizo gearbox za Auto ni Overheating.

Every time gear inapoengage au kutoka kuna amount kubwa sana ya joto inazalishwa.

Sasa the worst snerio ni kama gari iko kwenye gear unarev halafu tairi hazizunguki. Hapa mzee kuna clutch pack kadhaa lazima raba zife sababu ya joto.

Pia lazima clutch plates zisagike na baada ya muda zitakuwa hazina uwezo wa kushika vizuri tena.

I wish ungekuwa unafahamu how thin clutch plates za automatic gearbox huwa zinakuwa.

Labda nikutolee mfano kwenye forward clutch assembly ya automatic gearbox ya Harrier u141e.

Clearance ambayo clutch plates na backing plates kwa ajili ya zinakuwa nayo kwa ajili ya kubana na kuachia ni just between 0.6mm mpaka 1mm


Anything below 0.6mm huna gearbox.

Haya Bongo hii unapata wapi spare parts mpya za Automatic gearbox?

Online huwa zipo overhaul kit za gearbox.

Nimechoka kuandika mambo ni mengi.
Mkuu, at least umechukua muda wako kuandika vizuri kabisa kwa urefu mzuri..namie niongezee kamsisitizo..... clutch zina hold friction ili ku transmit engine power to wheels, so gari ikikwama ukatumia nguvu una over heat clutches because of grinding friction on facing surfaces za clutches...so zile friction materials zinazokua kwenye clutch hujisuguana mpaka zinaisha na hivo Kushi ndwa kuhold tight as required kuweza ku transmit all power available from torque converter (or engine), hii inafanya power loss iwe kubwa...hii kitu si kwa gari automatic tuu hata manual..tena manual unasikia mpaka harufu ya burning clutches hata tu ukiingiza gear vibaya au kama clutch pedal huitumii vizuri...na hata ukiwa una accelerate very aggressive utasikia harufu ya vitu kuungua kutoka uvunguni mwa gari, that is smell from burning clutches.

So wapendwa be careful na transmission zenu.. avoid unnecessary aggressive driving, mara unafanya drifting kwa gari ambayo not designed for sport..
Au una umekwama mahala unakanyaga mafuta tairi inazunguka mpaka gari inakalia kifua wewe umo tu bila kujua una shorten life ya gear box na kusababisha premature failures za transmission system.

Na kwa watu wenye gari zenye CVT transmission ndo haswa wapo more exposed to this risk ya premature failure ya transmission system kama zikiwa mis-used.
 
Back
Top Bottom