Uchaguzi 2020 Tatizo letu ni kuiondoa CCM madarakani - Miaka 56 imetosha

Uchaguzi 2020 Tatizo letu ni kuiondoa CCM madarakani - Miaka 56 imetosha

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Tatizo sio wagombea, kubwa ni system nzima katika kuiongoza Tanzania, kuiondoa mfumo huu wa kimwinyi na kibepari ni lazima CCM iondoke ikae benchi, kama itakavyokuwa baada ya ushindi wa kimbunga wahindi wanaita tufani hapo tarehe 28 kuamkia 29 mwezi huu wa kumi 2020.

Inaanzwa na kumuondoa kinara wao na wabunge na madiwani wanaoiongoza mfumo mbaya ulioota mizizi,yaani tunaing'oa kabisa,CCM haina njia ya kutokea isipokua kukutana na kifo chake kila mwananchi akiona CCM ni wachache sana na waoga, mitaani huko wanafurushwa na kufukuzwa kama ndezi.

Hakuna sababu hata moja ya hawa jamaa kubaki madarakani,wanaondolewa mzobe mzobe maana hakuna ,wananchi walio wengi wamepigika vilivyo ,matumaini ya kuinua hali zao kimaisha imetoweshwa,sasa wanadanganywa na pipi za ndege na barabara za lami eti ndio maendeleo ya mwananchi na kuahidiwa kujengewa barabara nyingi zaidi.

Chama kinaposema usiponipa kura yako sikuletei maendeleo chama hicho hakifai kikataliwe kwa mapana na marefu.
CCM hoi itikia - hoii.
 
Pamoja na figisu, vurugu za wahuni wanao saidiwa na polisi hawawezi mziki wa Chadema....

Kitendo alichofanyiwa John heche sio Cha kukipuuza... ipo siku hao wahuni watakula jeuri yao..
 
Uhakika wakupata wabunge hata 10 hamna majimbo ambayo mlikuwa nayo before mengi mtayapoteza, najaribu kufikir tundu ataundaje serikali yake.

Kampeni zenu za uraisi hazina correlation na za ubunge.

Lisu anaondoa ile trust ambayo wangu wengi waliiweka kwa chadema kama mkombozi.

Make my words wala hataibiwa kura and he will never be the president of this country.
 
Pamoja na figisu, vurugu za wahuni wanao saidiwa na polisi hawawezi mziki wa Chadema....

Kitendo alichofanyiwa John heche sio Cha kukipuuza... ipo siku hao wahuni watakula jeuri yao..
 
Uhakika wakupata wabunge hata 10 hamna majimbo ambayo mlikuwa nayo before mengi mtayapoteza, najaribu kufikir tundu ataundaje serikali yake....
Kampeni zenu za uraisi hazina correlation na za ubunge
Lisu anaondoa ile trust ambayo wangu wengi waliiweka kwa chadema kama mkombozi..
Make my words wala hataibiwa kura and he will never be the president of this country.

CCM + polisi + tume + msajiri wa vyama + Kamati ya maadili.... Wote hao wameungana na bado hawawezi CHADEMA...
 
CCM itaondoka tu, muda umefika.
Wametuibia na kutunyanyasa sana.
 
Kimsingi CCM imeisha kufa, hapa kunachotakiwa ni kuzoa mzoga wake tu na kwenda kuutupa au kuuzika, maana unanuka sana! Hatuna amani
 
Shocker will be shocked on October 28th.

Kura zote za ndio tumpe JPM

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Hata shetani hana tatizo na Mbingu bali anatamani kumuondoa Mungu kwenye kiti chake aweze kufanya yake....
 
CCM mda wao umefika,mwisho tarehe 28 mwezi huu.
Magufuli atapangiwa kazi nzuri tu na Lissu.
 
Pamoja na figisu, vurugu za wahuni wanao saidiwa na polisi hawawezi mziki wa Chadema....

Kitendo alichofanyiwa John heche sio Cha kukipuuza... ipo siku hao wahuni watakula jeuri yao..
Miongoni mwa wanaotafutwa kwa nguvu zote ni Heche, Sugu na Msigwa.Hao viongozi walindwe sana....
 
Chama cha kuitoa CCM madarakani hakijazaliwa. CHADEMA, na wenzake bado ni vitoto kwa CCM. Chama kama cha Mbowe, ambacho chenyewe kipo ki maslahi zaidi hakina weledi wa kuongoza taifa hili. Kwanza hakina viongozi, wapi hawa vibaraka wa mabeberu?.

Wapi hawa kina Mbowe, wanaokula ruzuku na michango ya wabunge, hawa ambao mali za chama ni zao. Thubutu, Mungu atapapopoa safari hii mkipata wabunge 10 mkatoe sadaka.

Endeleeni kupata faru John tu na mabeberu zenu sisi twafanya maendeleo. JPM kanyaga twende break 2030.
 
CCM kujiondoa ni muhimu,wameanza kuzalisha maoteo mwingine kina Ridhiwani,Fred Lowasa,mtoto wa Pinda, Lusinde,mwinyi,Karume,Nape,Makamba, Mhagama, Sasa wale viongozi wakichoka au kuzeeka wanarithisha watoto mwisho wajukuu na vitukuu.
 
Wewe ni mhaya mjinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Asante japo kila mtu huwa ana kaujinga kake...Kama wewe una kaujinga ka kutambua kila mtu anachaguo lake.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom