Mwaka mpya
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 213
- 222
Heshima kwenu wakuu, napenda kurudisah mrejesho kua mpka sasa PC haina tena ile maneno za the copy of Windows is not genuine hayapo tena na tatizo limekwisha,,,,, shukrani sana wakuu.Pole, download file linaitwa"chew" for win7 activation!
Install and once asked to reboot the PC after installation, allow it to make changes to the system!
Hutaiona tena hiyo sms ikijitokeza na utaweza kuamua hata desktop background upendavyo! All da best!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu computer yangu inawaka lkn haifunguki,shida yaweza kuwa nini na nifanyejeNi platform gan unayotumia kwenye laptop yako?
Pirate
Kaka nasubiri msaada wako
Mkuu pirate msaada p/se nina desktop Dell inatumia WindowXP, nikifungua tu inaleta sms *Microsoft Malware Protection Command Line Utility* wakinitaka niclose, siku za nyuma waliniambia Window XP ilisimama 2014 sasa fundi ka-install jana tu kala na hela kaniambia ni Ram niongeze kwani ipo 750Mb naomba niokoe mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pirate hyo driver inaitwaje? Alafu mbona sijaona hyo rangi ya njano
Mkuu Pirate!
Natumia Acer, nikijaribu kuinstal new programs inagoma. Nikijaribu kuupdate basic microsoft window packs inaniletea errors. Please, help me in this (any may do)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina dell, nikiweka desktop background inakaa muda mfupi inapotea, shida ni nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ila nafanyajeeupdate video driver mkuu
Inakuja rangi nyeusi tu.Ikipotea inakuja nyingine au inakuja ipi??
Kama unatumia win7 basi hiyo haijawa activated! Its not genuine!Inakuja rangi nyeusi tu.