Natumia HP herufi ' t' haiandikiki.Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
Yani mkuu nkwamba nkifungua microsoft word ili ni type kazi..nkimaliza silazima niisevu ili baadae nihamishe kweny flash??sas nkifany hivo bado kweny flash ile kazi inaonesha iko kweny microsoft wordMkuu SijakuelewA vizur, but nitajid kuelezea kidogo
Kama ukiweka kwenye flash then inaonyesha shortcut bas labda uja-save vizur, Lakin kama aionekan basi uja-save kabisa so chakufanya save kwenye folder lolote kwenye pc then copy/move kawaida kwenye flash inaweza ikasaidia
Pirate
OK now JARIBU kuangalia ram kama unaweza ukaifungua pc yako, chomoa ram na rudisha au pia jarbu kubadilisha ram nyingne sometimes kama ram zipo mbili jarbu kuweka moja moja yan unajarb moja ikikubal unajarb na nyingne ikikataa inawzekana ikawa Ina shida labda au zote zikiwa zinafanya hivyo bas jarbu kuweka ram nyingne ambazo zinaingiliana na pc yako au nunua tu ila jarbu kabla ya kununua piaAsante sana mkuu. Nilijaribu kuunganisha na desktop monitor lakini haikuwaka pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
OK kwa software advice ni hivHabari yako, laptop HP500 notebook speaker haitoi Sauti volume adjustment ipo full . Nikiweka speaker za nje nasikia kama kawaida, je tatizo ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Vumbi tu hilo mkuu, kama unaweza, fungua keyboard ufute taratibu vizuri kwa weredi na uangalie vizuri ktk hiyo button ili kama kuna utando wa vumbi au kutu uukwangue taratibu! Hiyo inaweza kukusaidia mkuu!Natumia HP herufi ' t' haiandikiki.
Kwaiyo kwenye flash uion??Yani mkuu nkwamba nkifungua microsoft word ili ni type kazi..nkimaliza silazima niisevu ili baadae nihamishe kweny flash??sas nkifany hivo bado kweny flash ile kazi inaonesha iko kweny microsoft word
Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Mkuu, flash yako inaweza kuwa na virus wafichao mafaili, scan flash yako kwa updated antivirus!Yani mkuu nkwamba nkifungua microsoft word ili ni type kazi..nkimaliza silazima niisevu ili baadae nihamishe kweny flash??sas nkifany hivo bado kweny flash ile kazi inaonesha iko kweny microsoft word
Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Ndio inaandka shotcutKwaiyo kwenye flash uion??
Pirate
Sawa mkuu ngoja nfanye hivoMkuu, flash yako inaweza kuwa na virus wafichao mafaili, scan flash yako kwa updated antivirus!
Sent using Jamii Forums mobile app
YapVery good! Simu yangu ya Android Techno H6, inashindwa kutambuliwa na PC yenye Window 10. Naweza kutatua vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu, hapo tatizo linaweza kuwa hizo internal speakers au mahali penye connection ya hizo internal speakers!Habari yako, laptop HP500 notebook speaker haitoi Sauti volume adjustment ipo full . Nikiweka speaker za nje nasikia kama kawaida, je tatizo ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu. Haya mambo ni ya Ufundi zaidi siyawezi, itabidi nipeleke kwa fundi.OK now JARIBU kuangalia ram kama unaweza ukaifungua pc yako, chomoa ram na rudisha au pia jarbu kubadilisha ram nyingne sometimes kama ram zipo mbili jarbu kuweka moja moja yan unajarb moja ikikubal unajarb na nyingne ikikataa inawzekana ikawa Ina shida labda au zote zikiwa zinafanya hivyo bas jarbu kuweka ram nyingne ambazo zinaingiliana na pc yako au nunua tu ila jarbu kabla ya kununua pia
Pirate
Nashukuru sanaVumbi tu hilo mkuu, kama unaweza, fungua keyboard ufute taratibu vizuri kwa weredi na uangalie vizuri ktk hiyo button ili kama kuna utando wa vumbi au kutu uukwangue taratibu! Hiyo inaweza kukusaidia mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
OK pia ni wazo Zur pia hope they will help you out!!Asante sana mkuu. Haya mambo ni ya Ufundi zaidi siyawezi, itabidi nipeleke kwa fundi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana mkuu!OK pia ni wazo Zur pia hope they will help you out!!
Cheers!
Pirate
Chanzo cha tatizo la PC yangu nilikuwa na update Bios,ikafail hvyo tu before mzigo ulikuw Vema saana!!Ahsante, sasa fanya hivi ili kujua pia kama tatizo ni RAM au CPU!
Chomoa RAM zote kisha washa PC yako, ukisikia three continuous beeps ujue tatizo ni RAM ila ukiona kimya, hiyo ni board problem hasa kwenye aidha CPU au viambata vya CPU kwenye board!
Kama unao uwezo wa kutumia digital multimeter, pima njia kadhaa za viambata vya CPU!
Vinginevyo muone mtaalamu zaidi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuuLabda pia JARIBU njia hii mkuu
Update bios uwa na risk kidogo kwa mtu anaeifanya na inabid uwe makin sometimes uwa inaweza ikafanya pc isiwake kabisa, sometimes INSIDE H20 BIOS ni nzur kidogo ku-update,
Sasa cha kufanya hapo jarbu kudownload default firmware bios, katika officially page ya dell au online pia watakupa maelezo jinsi ya kuiweka humo humo so JARIBU kuyafuata maelekezo vizur ili uweze kutokuarbu Zaid mkuu
# # note
Maelezo yote ni vizur kuyajarbu inaweza mojawapo ikafaa
Pirate
OK, tusubiri wajuvi zaidi mkuu watatusaidia kulingana na uzoefu wao!Chanzo cha tatizo la PC yangu nilikuwa na update Bios,ikafail hvyo tu before mzigo ulikuw Vema saana!!
Sent using Jamii Forums mobile app