Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Wakuu ninapatwa na tatizo la picha kuwa na blur au kushuka ubora kila niwekapo Whatsapp Status.

Simu yangu ni Samsung S10+ nashangaa picha nikipiga ni quality sana but nimejaribu ku upload kwa status zinapungua ubora nifanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni tatizo la whatsapp, wanapunguza sana quality ya picha.

Jaribu kutumia image editing software kuitengeneza picha kabisa then ndio iende kwenye status ama profile pic ama mahala pengine.

Resolution ya status ni 800x480 ama 800x600 hivyo ukisha edit save kwa hio resolutuon ndio utumie kuweka kwenye status
 
Mkuu shida hapo sio simu yako..shida ni wao whatsapp wenyenye,, wana compress picha zinazozidi size wanayo taka wao na hii inafanya ubora wa picha kupungua sana


Sasa ili kumaintain ukali wa picha zako..badilisha megapixel kweny camera yako iwe kuanzia 12MP kushuka chini..hapo ndio utaanza kupata quality kweny status zako...less megapixel , higher status quality

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu
Hilo ni tatizo la whatsapp, wanapunguza sana quality ya picha.

Jaribu kutumia image editing software kuitengeneza picha kabisa then ndio iende kwenye status ama profile pic ama mahala pengine.

Resolution ya status ni 800x480 ama 800x600 hivyo ukisha edit save kwa hio resolutuon ndio utumie kuweka kwenye stats

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay nashukuru sana mkuu, nilihisi simu yangu kumbe ni wao.

Ahsante kwa maarifa.
Mkuu shida hapo sio simu yako..shida ni wao whatsapp wenyenye,, wana compress picha zinazozidi size wanayo taka wao na hii inafanya ubora wa picha kupungua sana


Sasa ili kumaintain ukali wa picha zako..badilisha megapixel kweny camera yako iwe kuanzia 12MP kushuka chini..hapo ndio utaanza kupata quality kweny status zako...less megapixel , higher status quality

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu shida hapo sio simu yako..shida ni wao whatsapp wenyenye,, wana compress picha zinazozidi size wanayo taka wao na hii inafanya ubora wa picha kupungua sana


Sasa ili kumaintain ukali wa picha zako..badilisha megapixel kweny camera yako iwe kuanzia 12MP kushuka chini..hapo ndio utaanza kupata quality kweny status zako...less megapixel , higher status quality
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niliwahi kusikia haya malalamiko, sikujua shida iko wapi, kumbe whatsapp wana resolution ndogo hivyo? Aisee.
 
Back
Top Bottom