beka the boy
Senior Member
- Nov 6, 2018
- 167
- 97
Habari za muda huu wadau,
Samahani sana naomba msaada wa setting kwenye simu yangu ya Infinix Hot 8 simu yangu sms zinaingia kimya kimya bila kutoa sauti (sound notification) naombeni mnisaidie sijui nakosea wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii simu bd haijagonga 1M?
Nahitaji Duos
Sent From My iphone 11 Max Pro..Niliinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama.
GB whatsapp si walishaacha kuiendeleza mkuu?Wale watumiaji wa GB WHATSAPP hizo mbanga za low quality tushazisahau kitambooo
Sent using Jamii Forums mobile app
GB whatsapp si walishaacha kuiendeleza mkuu?
Ina maana hakuna altenative kabisa?mkuu LG ikizima imezima yaani haiwaki forever, sitarudia kununua LG katika maisha yangu.
Lini sasa mzeee? Yako ni duos?Mkuu imeshuka hadi 1.5M, nafikiri ikitoka S11 itashuka zaidi. Kama utataka ninaweza kukuuzia yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo, ila ile ya toleo la mwisho bado inapiga mzigo kama kawaGB whatsapp si walishaacha kuiendeleza mkuu?
Toka wanipige ban ya masaa 2 sasa hivi nimerudi official whatsapp na nimeizoea sana
Inachomoa siku kwa single charge bila kuzima data?
inakaaa na charge masaa mangap bila kuzima dataaa mkuu
mkuu LG ikizima imezima yaani haiwaki forever, sitarudia kununua LG katika maisha yangu.
inakaaa na charge masaa mangap bila kuzima dataaa mkuu