Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

laptop toshiba, imepoteza sauti ghafla mkuu hata nkichomeka earphones sisikii chochote
 
Nna hp compaq nc6000 nmeeka window 7 haitakoli kumaliza installation,ina ram 512mb,hdd 40gb tunafanyaje niweze ku enjoy na laptop yangu maana mpaka saiv haiwaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni playback device imekuwa disabled, cha kufanya right click kwenye hiyo volume icon Kisha uende sehem iloandikwa playback device Kisha enable speakers

Pirate

Ahsante mkuu, ni drivers zilikua zimemiss sasa inapiga kazi..
 
Hatimaye nimemaliza Uzi wote 1-16.

Asanteni wajuzi wa mambo.
 
Nna hp compaq nc6000 nmeeka window 7 haitakoli kumaliza installation,ina ram 512mb,hdd 40gb tunafanyaje niweze ku enjoy na laptop yangu maana mpaka saiv haiwaki

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana iyo cd/USB flash ndio aijakuwa complete au imeharbika kwaiyo ushaur jarbu kutafuta CD nyingne au flash nyingne ambayo ipo complete itamaliza vizur

Au labda kama ukiona inaendelea kugoma Sema inatokea error gani ili lijulikane tatizo labda

Pirate
 
Natumia Acer E15
Shida yangu ni mouse yake, nahitaji single click naipata vipi maana hapa natumia kubonya kabisa kama zilizyo mouse za kawaida

Mimi nahitaji niclick kwa touch tu
Msaada wajuvi

"mwanaume mashine"
 
Natumia Acer E15
Shida yangu ni mouse yake, nahitaji single click naipata vipi maana hapa natumia kubonya kabisa kama zilizyo mouse za kawaida

Mimi nahitaji niclick kwa touch tu
Msaada wajuvi

"mwanaume mashine"
Yani unataka kufanya right-click au just click??

Pirate
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate

Nataka ni upgrade Ram kutoka 4GB kwenda 8GM N5050 Dell. Natafuta RAM
 
Back
Top Bottom