Tatizo na Nyumba Ndogo...

@kongosho
Watu wengi; including me tunaseek refuge kwenye kazi pale sex life inapokuwa boring or routine! Lkn hao keria womeni unaowataja wakipata ka ofisi romansi huwa wanachanganyikiwa, too bad kama umri umeenda kwani wababa wanaofanya nao kazi, au wanaokuwa nao kwenye mawekishop macho yanawatoka kwa wahudumu na vibinti vidogo; so they end up more frustuated! Wengi wao huishia kwa madreva tu!

Naamini boss mwanamke ana uwezo na nafasi kubwa ya kuspare 45mns ya lunch time (l love that kind of adventure) na l am sure akirudi atakuwa more productive kuliko angekaa na kuhangaika na report. Ofcourse haiwezi kuwa daily thing hiyo!

Kitu kingine u should know; wengi wetu tunaishi kisanii zaidi (jinsi jamii inavyotaka tuishi) tofauti na wanaume. Mwanamke anategemewa asipende sana sex, while mwanaume is a plus akipenda sex!
 

pwenti tupu

KUna kakangu mmoja kila siku kwamba hakuna mwanamke rahisi kulamba kama keria woman... show interest in her work, complement her even if she is rubbish, time anaposafiri uwe mji alipo umekula... hawajui kutongozwa, hawajui kukataa wanachojua ni kazi kwahiyo akigeuza tu macho kaliwa

mwisho wa siku ni frustration tupu

MATATIZO YA MAHUSIANO YANACHANGIWA 50/50 NA WENYE MAHUSIANO TUTAHANGAIKA WEEEEEEEEEE, BUT THAT IS THE FACT!!
 
 
Inaonekana wanaokinai kuwa na mwanamke mmoja hapa ni wanaume tu thus why wanafikia mpaka kutafuta nyumba ndogo!
Inamaana wanawake wao hawakinai kuwa na mwanaume mmoja?
 

Husninyo, it takes two kufanya mapenzi/ndoa kuwa ya uaminifu. Mwanamke peke yako hata ufanyeje, kama mwanaume ameamua kuwa na nyumba ndogo atakuwa tu. Ni vizuri kuplay your part actually ni wajibu, ikiwa ni pamoja na kukumbushana dreams zenu, mmshirikishe Mungu kuanzia mwanzo, wote mjitahidi kuwa responsible kwa maisha ya watoto mliowaleta duniani etc.
 
kwanza anachosema hakiwezekani, yaani utakaaje wiki hujamwona mume home na hushtuki? unajua amepatwa na nini, achilia mbali kuwa ameenda nyumba ndogo?
 
Inaonekana wanaokinai kuwa na mwanamke mmoja hapa ni wanaume tu thus why wanafikia mpaka kutafuta nyumba ndogo!
Inamaana wanawake wao hawakinai kuwa na mwanaume mmoja?

Swali zuri hilooooo..:eyebrows:
 
Ukweli ni kwamba, efforts zote zinazopelekwa nyumba ndogo (both kwa wanawake manake na sie hatuchezi mbali, na kwa wanaume) zingehamishiwa nyumba kubwa ndoa zote zingekuwa paradise!

...aisee... Nipe maujuzi mengine nianze utundu...

Mkuu hiyo imetulia kweli.
Tena kama ndio mko pamoja kitambo mapenzi hufifia kidogo. Ni vizuri ku spicy up mahusiano.
Sometime is good to be nought and kinky .

...reading this from a lady tempts me to try it sooner than later...thx


Khaaa, mkuu vipi tena,...hawa VIP kwa simulizi nilizozipata wana enjoy zaidi hizo za "down to earth" dirty acts ...

Imekaa vema... tatizo is she adventerous?? Hataanza mambo ya hapa umelipa shingap si bora tukafanyie home? Na Mbu you do know how hayo maswali kama hayo yakata steam ya the act.....

....hahaha....hayo maswali ndiyo nayakimbia mie...
"umepajuaje hapa?"....arrrggghh
 
Swali zuri hilooooo..:eyebrows:

...lol...BJ weka ushuhuda hapa...

BTW, kuna wale wasio na wivu, au sijui hawajali..wenyewe wanaita mahusiano hayo
Open Relationship...yaani anajua mume anajirusha, na mume anajua mke anajipaisha kivyake...
so long as, "heshima" nyumbani....

Hawa wanaweza hata "swingers" parties aka 'wife swaps'...
msikodoe, temea tu chini...yapo haya.
 
Swali zuri hilooooo..:eyebrows:

BJ hebu nisaidie kujibu mana naona wanaume tu wao ndio wenye sbb za kutoka nje ya ndoa ,kwa kuchoshwa na kula mchicha kila siku ,how about wanawake jamani wao hawachoki hiyo michicha ya kila siku au wanawake mate yao ni testless!
 
tuko bize tunachakachua kila kitu.

Huamini kama mwenza anapokuwa occupied na mambo mengi nje ya mahusiano yenu hata hamu/uwezo wa chakula cha wakubwa hupungua?

Mdororo uko kila sehemu hata baada ya miaka hamsini ya uhuru.Mahusiano na uchumi vyote tuko hoi,lol!
 

Kwani mbu hata wanawake nao wao si wanahamu ya kuonja vitu vipya jamani?

au hii ruhusa imetolewa tu kwa wanaume?
 
@kaunga

kama nilivyosema awali, mara nyingi(si zote) keria woman kama mahusiano yake hayako sawa ni rahisi sana kuliwa. Lakini naamini kama mahusiano yako mazuri sijui kama ataliwa kirahisi.

Kuhusu wekishop, ningekuwa na mke ni marfuku kwenda.
Duh, wanaliwa kama senene?????
Hadi hata mtazamaji unachoka, lol.
 


Hus mkujukuu wangu...hivi una bibi uende ukamsimulie hii hadithi yakoo tamu?

Sijasema na wala sina maana kwamba haiwezekani, ila tuombeane uzima....

Kabla mvi hazijaanza kunyonyoka, unaweza kuja kutupatia matokeo yako kama alivyosema Dada/kaka Kongosho!!

Babu DC
 

Seriously,

I wish you were mine!!



Hapa unaongelea mtu na mke wake au mambo haya haya ya MJ1??


I aggree with you hapo kwenye pink; lakini huyo bro wako nafikiri alimiss small point, kuwa mara nyingi hawa keriawimen wako mature and they know what they want, na hawapretend otherwise. Anataka mtu wa kumkuna, akichelewa kuombwa anaomba mwenyewe.

Kwa mume wake???

For majority...Labda siku ya Valentine...lol!!

Babu DC!!
 

I agree, na wengi wanachagua sana (as hawapendi disappointments), hivyo ikatokea akampata mmoja anayedhani mwenye 'qualities' hajiulizi she will never pretend, no nataka sitaki.
 
Inaonekana wanaokinai kuwa na mwanamke mmoja hapa ni wanaume tu thus why wanafikia mpaka kutafuta nyumba ndogo!
Inamaana wanawake wao hawakinai kuwa na mwanaume mmoja?

Hapana binti,

Kila binadamu anapenda kitu kipya kipya, kinachong'aa na kuvutia hata kama cha kuazima,

Hata hivyo tunatofautiana katika uwezo wa kuhimili tamaaa + risk assessment and management!!

Babu DC!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…